Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
Dawa ni kumpuuza tu na kuanza kujichukulia tahadhari wenyewe.Farao ni mbishi na muoga sana, ila Covid imefunua ujinga wake. Yaani kwa sasa hadi raia aliozoea kuwadanganya kwa blah blah zake wamemshtukia mapema.