Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #61
Umeiangalia video?Okay kahama labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeiangalia video?Okay kahama labda
Samahani kwa kukosea jina. Lakini hiyo Nyani ndiyo inayonikwaza, hasa kwa kuangalia tabiia ya nyani kwa sisi wakulima wa nyanda za juu kusini.Yawezekana hulipendi sana kwa sababu unalikosea!
Mimi siikwepeshi lawama serikali pamoja na Rais Magufuli. Wanabeba lawama karibu zote.
Lakini pia, mimi kama raia huru mwenye akili timamu, sihitaji Rais Magufuli aniambie eti nivae barakoa au sijui ninawe mikono na maji tiririka au kuepuka misongamano.
Lakini hujajibu swali, nani kalalamika kuwa serikali imemzuia kuvaa barakoa?Kuna kiumbe anaitwa brazaj sijui Magufuli kamkosea nini yaani anaweza fungua nyuzi tano kwa mkupuo zote kulalamika.
Anyway tuchukue tahadhari na kuwa watulivu
Naona kama hili halina ukweliMagufuli kakosea sana kwenye suala la PR kwa kudai COVID-19 haipo nchini
Halina ukweli kivipi?Naona kama hili halina ukweli
Rais Magufuli kakosea sana kwenye suala la PR kwa kudai COVID-19 haipo nchini.
Huwezi kudai kitu hakipo, hususan ugonjwa unaosababishwa na ki/virusi [ambavyo havionekani], bila ushahidi.
Rais Magufuli ni mwanasayansi wa wapi yeye?
Mimi bado naamini C-19 si kali wala hatari kama inavyotangazwa, lakini hiyo haina maana watu wasichukue tahadhari, hususan wale walio medically fragile.
Lakini mbona prime minister wa New Zealand alisema na wao Corona ilikwisha? leo hii wamerudi kwenye lockdown. Kama hakuna mgonjwa wa Corona hospitali utasemaje corona ipo? nchi nyingi zinapita humo humo kwenye vipindi vya Corona kupanda na kushuka, China, UK, Europe hata USA wote wameshawahi kupunguza makali ya lockdown wakidhani wako safe na Corona inatokomea for good. Watu wanang'ang'ania second wave kama ndio first wave, na yote hii ni kwasababu mwafrika kasema hakuna Corona.Rais Magufuli kakosea sana kwenye suala la PR kwa kudai COVID-19 haipo nchini.
Huwezi kudai kitu hakipo, hususan ugonjwa unaosababishwa na ki/virusi [ambavyo havionekani], bila ushahidi.
Rais Magufuli ni mwanasayansi wa wapi yeye?
Mimi bado naamini C-19 si kali wala hatari kama inavyotangazwa, lakini hiyo haina maana watu wasichukue tahadhari, hususan wale walio medically fragile.
Kwani, ili corona iwepo ni lazima awepo mgonjwa spitali?Lakini mbona prime minister wa New Zealand alisema na wao Corona ilikwisha? leo hii wamerudi kwenye lockdown. Kama hakuna mgonjwa wa Corona hospitali utasemaje corona ipo? nchi nyingi zinapita humo humo kwenye vipindi vya Corona kupanda na kushuka, China, UK, Europe hata USA wote wameshawahi kupunguza makali ya lockdown wakidhani wako safe na Corona inatokomea for good. Watu wanang'ang'ania second wave kama ndio first wave, na yote hii ni kwasababu mwafrika kasema hakuna Corona.
Kumbe bwana Ngurumo kaihama Suomi, once a fugitive always a fugitive, kesho kutwa tutasikia anahojiwa akitokea Kodiak, AlaskaAnsbert Ngurumo yupo ukimbizini huko Sverige?
Dunia nzima huu ndio utaratibu unaofuatwa, hospitali na vituo vya afya ndio mahali pakwanza kujuwa kuna nini mtaani.Kwani, ili corona iwepo ni lazima awepo mgonjwa spitali?
Hujajibu swali!Dunia nzima huu ndio utaratibu unaofuatwa, hospitali na vituo vya afya ndio mahali pakwanza kujuwa kuna nini mtaani.
Unalaumu bure wanaolaumu au kulalamika. Wajiona wewe ndiye mwenye haki kulaumu na waliobaki hiyo haki hawana. Tatizo hapa ni thinking capacity yako kuwa na hitilafu. Haya mambo ya kuna kiumbe anaitwa au fulani anti- government yaonyesha defective thinking capacity. Kila kiumbe ana jina lake muite kwa hilo. Ni lake. Yeye ni yeye na wewe ni wewe. Hajafanya dhambi kuwa yeye. Wafanya dhambi wewe kumnyima yeye kuwa yeye.Kuna kiumbe anaitwa brazaj sijui Magufuli kamkosea nini yaani anaweza fungua nyuzi tano kwa mkupuo zote kulalamika.
Anyway tuchukue tahadhari na kuwa watulivu
Kama hakuna wagonjwa hospitalini au kwenye vituo vya afya, inahesabika kama ugonjwa huo haupo nchini.Hujajibu swali!
Kipindi ni The Stream.
Kinaongozwa na Femi Oke.
Wageni ni Ansbert Ngurumo, akiwa yupo Stockholm, Sweden na Dkt. F. Minja, kutokea Atlanta, GA, USA.
Mazungumzo ni kuhusu madai ya Rais Magufuli kuhusu COVID-19.
Kuuliza si ujinga lakini kuna swali la kijinga. Bahati yako kaliita duni. Hukuridhika. Ukauliza jingine. La kijinga hasa. Swali duni jibu pia duni. Wenye maswali duni na majibu duni nao ni duni. Don't argue with a fool, a passerby may not notice the difference!Umeshindwa kulijibu?
Mbona Bongo hakuna Vita,Nini kimemkimbiza!? Au ni Mkimbizi wa Kiuuchumi!?Kasema yupo ukimbizini huko Sweden...
Tanzania ni Taifa bora kwenye suala lipi?Kumbe ni bovu?