Ansbert Ngurumo na Dkt. Minja mubashara kwenye Al Jazeera

Ansbert Ngurumo na Dkt. Minja mubashara kwenye Al Jazeera

Kipindi ni The Stream.

Kinaongozwa na Femi Oke.

Wageni ni Ansbert Ngurumo, akiwa yupo Stockholm, Sweden na Dkt. F. Minja, kutokea Atlanta, GA, USA.

Mazungumzo ni kuhusu madai ya Rais Magufuli kuhusu COVID-19.


Dr Minja Habari!! Nimewasikiliza mazungumzo yenu vizuri Sana. Mnatakiwa muelewe kuwa wizara ya afya na Rais wetu wamejitahidi sana kupambana na Covid. Tanzania ni nchi masikini. Haiwezi kufunga shughuli zake.Tutakufa njaa na tutafiriska.Aidha tusimsingizie Rais na serikali kuwa wanawapotosha watu. Hii issue kwa jinsi dunia inavyokwenda inafika mahali inabaki issue ya mtu binafsi. Wamekufa watu wakubwa. Je, na wao walishindwa kuchukua hatua? Hapana ni issue zao binafsi kushindwa kujikinga.Tusilaumiane.Wanaokufa marekani ni wengi kuliko wanaokufa Tanzania. Why Tanzania?
 
Kuna kiumbe anaitwa brazaj sijui Magufuli kamkosea nini yaani anaweza fungua nyuzi tano kwa mkupuo zote kulalamika.
Anyway tuchukue tahadhari na kuwa watulivu

Yaani mtu aliyepo madarakani kwa kunajisi uchaguzi, na kumwaga damu za wapinzani unashangaa kamkosea nini brazaj
 
Anapoteza sifa kwa sababu anaongelea Mambo ambayo hana taarifa nazo ni Kama umemsoma mdau hapo juu kwa sasa tuna Tanzania mbili ya mtandaoni na halisi. Hiyo ya mtandaoni inatisha hata wewe hutatamani kuishi ambayo ndio inahadithiwa na kunadiwa na kina ngurumo .

Sasa kwanini aeneze habari zisizo sahihi eti kisha yeye ni mkimbizi wa nchi yenye amani

Hao ambao hawaingii mitandaoni hawana mahali pa kuongelea ukweli wao. Hivyo usijivunie wasiongia mitandaoni kisa mitazamo yao haifamiki, hivyo utake kupotosha kuwa wameridhika na hali.
 
Yaani mtu aliyepo madarakani kwa kunajisi uchaguzi, na kumwaga damu za wapinzani unashangaa kamkosea nini brazaj
Kwahiyo ndio atumie corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli ? Nasema hivyo kwa sababu huyo msikaji tatizo lake sio corona bali ni Magufuli na ndio maana mwaka jana kipindi cha kampeni aliacha hizi habari za corona na kujikita na kampeni akitaka Magufuli atoke madarakani maana ndio mbaya wake,ila hilo liliposhindikana ndio karudi tena kwenye corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli.
 
Kwahiyo ndio atumie corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli ? Nasema hivyo kwa sababu huyo msikaji tatizo lake sio corona bali ni Magufuli na ndio maana mwaka jana kipindi cha kampeni aliacha hizi habari za corona na kujikita na kampeni akitaka Magufuli atoke madarakani maana ndio mbaya wake,ila hilo liliposhindikana ndio karudi tena kwenye corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli.
Kwani Magufuli huwa anamuonyesha upendo huyo Ngurumo? Tuanzie hapo.
 
Kwahiyo ndio atumie corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli ? Nasema hivyo kwa sababu huyo msikaji tatizo lake sio corona bali ni Magufuli na ndio maana mwaka jana kipindi cha kampeni aliacha hizi habari za corona na kujikita na kampeni akitaka Magufuli atoke madarakani maana ndio mbaya wake,ila hilo liliposhindikana ndio karudi tena kwenye corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli.
Huyo jamaa naona JF wamemuachia aendelee kueneza propaganda mfu brazaj ni mtu au kikundi cha watu wenye chuki kubwa kwa Rais na ameshatumia njia zote kumchafua Rais kwa propaganda zisizo na ushahidi lakini bado JF inamlea
 
Rais Magufuli kakosea sana kwenye suala la PR kwa kudai COVID-19 haipo nchini.

Huwezi kudai kitu hakipo, hususan ugonjwa unaosababishwa na ki/virusi [ambavyo havionekani], bila ushahidi.

Rais Magufuli ni mwanasayansi wa wapi yeye?

Mimi bado naamini C-19 si kali wala hatari kama inavyotangazwa, lakini hiyo haina maana watu wasichukue tahadhari, hususan wale walio medically fragile.
Umemsikia Magufuli anapiga hesabu za barakoa ngapi zinahitajika kwa siku? Kasema siku moja ina masaa 48.

Kasema barakoa inatakiwa kuvaliwa kwa masaa manne, siku moja ina masaa 48, kwa siku mtu anahitaji barakoa 12.

Amesema hivyo mara kadhaa, na kutumia multiplication kabisa, si mara moja useme slip of the tongue tu.

Kuna video inasambaa mitandaoni inaonesha hili.

Ikulu mpaka sasa haijatoa masahihisho.

How did we let such a clumsy country bumpkin run the country?
 
Huyo jamaa naona JF wamemuachia aendelee kueneza propaganda mfu brazaj ni mtu au kikundi cha watu wenye chuki kubwa kwa Rais na ameshatumia njia zote kumchafua Rais kwa propaganda zisizo na ushahidi lakini bado JF inamlea
Amemchafua rais vipi?
 
Njia rahisi ya Magufuli kuukwepa huu mjadala ni kutumia mbinu ya 2pac,ya kujipoteza maana sasa anaandamwa na ulimwengu mzima

Ataweza kweli ,aah wapi
Kushindana na ukweli,aah wapi
Atachapwa kidude,
Hakichomoki,kidude
Anatapatapa
 
the doctor from Atlanta Georgia claims that the variant in Tanzania is the new strain....

such a preposterous musing from a person who doesn't know jack squat about what's going on in the country
 
Dah....huo mjadala wangemtia na Anti Pass ndani ungenogaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787],[emoji2960]
 
Kipindi ni The Stream.

Kinaongozwa na Femi Oke.

Wageni ni Ansbert Ngurumo, akiwa yupo Stockholm, Sweden na Dkt. F. Minja, kutokea Atlanta, GA, USA.

Mazungumzo ni kuhusu madai ya Rais Magufuli kuhusu COVID-19.


Ansbert ngurumu hawezi toa assesment yoyote ya maana maana anamtarget tu magufuli kwa chuki sijui waliwahi gombea bibi au ametumwa?
 
Ngurumo ni anti-government usitarajie mchango chanya au ushauri wowote productive kutoka kwake
Ni captain wa kundi la kulaumu/kulalamika

Na Minja? Umesikiliza hoja walizotoa na namna walivyozitoa?
 
Back
Top Bottom