Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Hahaha ila jamaa kwenye ile interview ya kwanza yupo very BOLD...ameteseka kipindi ya jiwe.

Ile ndo ya ukweli hii ingine anatuliza upepo wa kisiasa.

Wasiomsikiliza, waisikilize.. natamani wengi wahojiwe tuone hisia zao.
 
kujaribu kumchafua jpm kwa namna yeyote ile ni uchaguzi wa mtu mjinga tu.

jpm ana bond na taifa hili,nawasihi wapumbavu wachache wanaodhani wanaweza kifanikiwa.
Mbona Marais waliopita ni wengi mmejuaje mwenye faili pale Dodoma ni JPM?
 
Dingi alitema nyongo..sasa moyo mweupeeeee.

Ameonyosha jinsi gani sasa watu wapo na amani kuliko kipindi cha nyuma.
 
Hivi yule Gavana wa Benki hakuacha watoto wakadai Mali za baba yao?
 
Unafiki uliwaumiza sana MATAGA...
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, bwana Anthony Diallo amewaomba radhi watanzania kwa kauli zake alizozitoa kuwa viongozi wa Serikali waliopita walikuwa na mafaili mirembe...
Huyo anatakiwa afukuzwe uwanachama, full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…