Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Mic inawekwa sikioni,huyu ni kichaa period
 
CHADEMA mmebaki kuwa wacheza Ngoma za CCM tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Chizi karogwa tena
 
Kila mtu kiasili ana kiasi fulani cha ukichaa.
Wale wanaovuka kiwango kinachovumilika ndiyo wanaonekana vichaa kutokana na maneno au vitendo vyao.
Vichaa waweza kujibizana na mtu mwenye akili timamu au wenywewe kwa wenywewe. Watatambulika kwa maneno na vitendo vyao.
 
Ukweli umeshajulikana, wanaojalibu kuupindisha wanajihangaisha. Tumekwelewa Dialo. Ndio maana tulikuwa tunashangaa sana iwapo ile ilikuwa ni hali ya kawaida.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma na kupokea maoni,ushauri na kila aina ya hisia ambazo naamini ni kwa upendo juu ya Clip yangu kuhusu kambi za Kitaaluma nilipokuwa nikizungumza na wananchi wetu katika tafsiri yoyote ile naomba Radhi kwa wote waliokwazika ,

wananchi na Viongozi wenzangu hasa pale matumizi ya neno "Waziri" lilipobeba hisia tofauti nawaheshimu Mawaziri wote na nafanya nao kazi kwa ushirikiano mkubwa natambua pia kazi nzuri inayofanywa na Mawaziri wetu wanaosimamia sekta ya elimu -

Wapo wanaodhani maelezo ya hisia zangu ni kuanza kupandisha mabega,na pengine mgema akisifiwa tembo hutia maji-niwaondoe hofu sina sababu ya kupandisha mabega .
 
Tujifunze kuomba radhi na kuwajibika,huwezi kutoa kauli za kubeza wateule wenzako wenye dhamana walizokabidhiwa wasimamie kama wewe.
 
Tujifunze kuomba radhi na kuwajibika,huwezi kutoa kauli za kubeza wateule wenzako wenye dhamana walizokabidhiwa wasimamie kama wewe.
 
Tujifunze kuomba radhi na kuwajibika,huwezi kutoa kauli za kubeza wateule wenzako wenye dhamana walizokabidhiwa wasimamie kama wewe.
Sasa Jiwe nani alimkabidhi zamana isipokuwa alipitishwa kwa LAZIMA na NEC. Tulikuwa na Rais uchwara kuwahi kutokea.
 

Sasa kichwa cha habari na habari Mbona vitu viwili tofauti Vipi umepagawa ?!
 
Hapo ni Diallo au Mtaka
Heading na content ni ccm/chadema
 
Ujumbe umefika na kugonga kwenye kidonda kibichi. Jiwe alikuwa Milembe material.
 
Mimi nimeandika mtaka naona moderator wamebadilisha sijui wana nini hebu wekeni vizuri heading hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…