johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hilo alilotubu!Kwani kosa lake ni nini hasa?
Hii ni radhi au msisitizo wa alichosema?kwanini aombe radhi kama ni kweli
Tunamuongelea yule mwenye faili Mirembe, mnalolificha!Ni kama Slaa wa Chadema aliyesema CCM ni choo!
Ametubu au amesisitiza?Hilo alilotubu!
Message sent and delivered.Baada ya kusema ukweli kuhusu awamu iliyopita jinsi ilivyonyanyasa watu wakiwemo wana-CCM wenyewe, hali hio imewachukiza sana wana CCM ambao walikua wanufaika wa unyanyasaji huo hali iliyopelekea Dr Diallo kuikana kauli yake muda mfupi uliopia.
Uzuri ujumbe umefika...haina ku rewind!!!Baada ya kusema ukweli kuhusu awamu iliyopita jinsi ilivyonyanyasa watu wakiwemo wana-CCM wenyewe, hali hio imewachukiza sana wana CCM ambao walikua wanufaika wa unyanyasaji huo hali iliyopelekea Dr Diallo kuikana kauli yake muda mfupi uliopia.
Hii sio radhi bali ni msisitizo wa alichosema.
Ukifuatilia Interview Nzima utaona Diallo alimaanisha alichokisema. Wengi wameangalia hiyo kauli ya Mirembe.
Collectiv agenda ni awamu iliyopita. Jaribu kurudia hiyo Interview halafu hiyo Kauli ya mirembe iwekwe kwenye FUTURE TENSE kama itamake sense!!
Kamanda, wewe unaweza kusema "ukweli" wo wote kuhusu Mbowe? Na ukabaki salama? [emoji16][emoji16]CCM amruhusu watu kusema ukweli?
Naiona chadema imekuwa nyepesi sana kwa siasa za kuhamishwa kutoka kwenye malengo ya msingi kwenda kwenye matukio.Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Why nisiseme ukweli?Kamanda, wewe unaweza kusema "ukweli" wo wote kuhusu Mbowe? Na ukabaki salama? [emoji16][emoji16]
We kijana unajua kusoma?Ametubu au amesisitiza?
Waliolalamikia kauli ya Diallo ni CDM? Pambaneni na hali yenu.Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Jaribu uone!Why nisiseme ukweli?
Mataga pori mnalazimisha kuhamishia mastress yenu kwa Chadema.Naiona chadema imekuwa nyepesi sana kwa siasa za kuhamishwa kutoka kwenye malengo ya msingi kwenda kwenye matukio.
Mzee mpumbavu huyu duuh. Alikua anaongea kwa madaha sana jana leo nn kimempata? Wahehe wanasemaga "Igogola Fivi" yaani anazeeka vibaya.