Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Baada ya kusema ukweli kuhusu awamu iliyopita jinsi ilivyonyanyasa watu wakiwemo wana-CCM wenyewe, hali hio imewachukiza sana wana CCM ambao walikua wanufaika wa unyanyasaji huo hali iliyopelekea Dr Diallo kuikana kauli yake muda mfupi uliopia.

Message sent and delivered.
 
Baada ya kusema ukweli kuhusu awamu iliyopita jinsi ilivyonyanyasa watu wakiwemo wana-CCM wenyewe, hali hio imewachukiza sana wana CCM ambao walikua wanufaika wa unyanyasaji huo hali iliyopelekea Dr Diallo kuikana kauli yake muda mfupi uliopia.


Uzuri ujumbe umefika...haina ku rewind!!!
 
Ukifuatilia Interview Nzima utaona Diallo alimaanisha alichokisema. Wengi wameangalia hiyo kauli ya Mirembe.
Collectiv agenda ni awamu iliyopita. Jaribu kurudia hiyo Interview halafu hiyo Kauli ya mirembe iwekwe kwenye FUTURE TENSE kama itamake sense!!
 
Ujumbe wake umefika na hajakosea na hana sababu yoyote ya kuomba radhi. Tulimpa kichaa rungu... Tusifanye hivyo tena.
Ukifuatilia Interview Nzima utaona Diallo alimaanisha alichokisema. Wengi wameangalia hiyo kauli ya Mirembe.
Collectiv agenda ni awamu iliyopita. Jaribu kurudia hiyo Interview halafu hiyo Kauli ya mirembe iwekwe kwenye FUTURE TENSE kama itamake sense!!
 
Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Naiona chadema imekuwa nyepesi sana kwa siasa za kuhamishwa kutoka kwenye malengo ya msingi kwenda kwenye matukio.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Waliolalamikia kauli ya Diallo ni CDM? Pambaneni na hali yenu.
 
Mzee mpumbavu huyu duuh. Alikua anaongea kwa madaha sana jana leo nn kimempata? Wahehe wanasemaga "Igogola Fivi" yaani anazeeka vibaya.

Mkongwe huyu, aliyajua haya..

Ameshsfanya DAMAGE na anajua hakuna atakayeamini kuli ya pili... Hii inaitwa Fujo isiyoumiza
 
Back
Top Bottom