Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'


Imefikia wakati mtu hawezi kuwa na mkweli na kusema ya moyoni kwasababu wengi wa wanasiasa wanapenda watu wabaki wanafiki. Namshikuru mzee huyu kuongea ya moyoni. Sasa wengine wanamwita mjinga🤔
 
Diallo asiye na tatizo la akili ameifanyia nini nchi hii?

Bila shaka tunahitaji wenye matatizo ya akili zaidi ili tuendelee kuona maendeleo
 

Hii kawaida kwa wanasiasa kasema makusudi ujumbe ufike. Huyu mzee hana shida yeyote zaidi ya mapenzi kwa nchi yake. Tushukuru hakuwa mnafikiri hata kama hatupendi aliyosema huu ndiyo uhuru wenyewe. Tusikimbilie kuita kila kitu tusi
 
Ujumbe wa Dr. Diallo umenyooka kama rula. Ni nadra sana kwa wana CCM kuziishi ahadi zao za nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko kama alivyofanya Dr. Diallo. Tumpongeze kwa hili.
Diallo na watu wa aina yake ni WANAFIKI, hizi kelele ni baada ya maslahi yake kuguswa, na kwa hakika hautasikia akisema lolote baya likifanywa na chama chake na Serikali inayoongozwa na chama chake.

Baada ya JPM kuondoka kila aina ya ubaya utaelekezwa kwake, kila mtu atajiepusha kujihusisha nae, na hili limeanza kuonekana toka 'juu'. Hata JK alivyoenda kutembelea SGR pamaoja na kutoa credits na pongezi kwa watu walihusika na ujenzi alishindwa kutoa credits kwa JPM.

Mbaya zaidi ni Wapinzani kudandia hoja nyepesi kama hizi hasa kila mtu akisema jambo la kuwafurahisha, leo hata Musiba, Polepole, Diamond na wengine wakimponda JPM wataonekana malaika mbele ya macho ya jamii ya Wapinzani.
 
Hivi ni doctor wa kitu gani huyu shujaa wetu mpya aliyeuzungumza ukweli wa lile sanamu la chato kuwa na valid certificate ya uwendawazimu
Nimeona hapo juu mmoja kaandika kuwa ni RMA lkn akajiita daktari.
 
Hata mrembe vipi sisi tunajua message sent and delivered! Hata chizi Magufuli alikuwa anasema hivi hivi message sent and delivered!
 

Hiki ni kipindi cha kila mtu kutaka kujulikana kwamba ni shujaa, hata kama ni kwa sababu za kuipuuzi.

Naagalia maelezo ya Diallo, ni wazi kwamba hajitambui nafasi yake na hatambui matokeo na maelezo yake...
 
Alimaanisha future time....tuzingatie hapo maneno yasiwe mengi na aachwe aendeleze maisha, msisumbue wawekezaji pls
 
Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Hakuna jambo linanikera kama hili, CCM ndio wanapiga ngoma CDM wanacheza tena kwenye mambo ya kitoto sana, Mambo ya msingi yote yanakosa mwendelezo na kufa kimyakimya.

Nakumbuka ishu ya Diamond ilichukua wiki moja na zaidi ikafa, Rais na ishu ya Katiba, na sasa hili la Diallo. CDM na wengine wajitafakari.
 
😂 neno likisha chomoka halirudishiki mdomooni pinda mugongo pinda mugongo pinda muugongo🕺
Wanachofanya CCM ni damage control,kumlazimisha mwanaume aombe radhi,lakini jini limeishatoka kwenye chupa.
Kitakachofuata Diallo atajiuzulu wadhifa wake labda baada ya miezi kama sita.
Maneno ya Diallo kudai Mkuu wa kaya alitibiwa na ana file Mirembe imeiweka CCM na serikali yake njia panda kitaifa na kimataifa.
 
Mkwepa Kodi aliyenyooka?

Kweli tatizo ni sisi
... Mahakama ya mafisadi si ipo? Mnasubiri ni kumfungulia mashtaka? Ufisadi wake umeonekana leo? Mwenyekiti wa CCM mkoa tena mkoa muhimu kiuchumi ujue. Mna ndimi elfu enyi wanafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…