Hasa djApewe adhabu kwa kuongea ukweli? Nchi ilitekwa na kichaa kwa muda wa miaka 5+
🤣🤣Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Duniani hapa ukweli ni upi?Mkuu kwani CCM kunaanaye sema ukweli?
Kuna wakati wanaongea ukweliMkuu kwani CCM kunaanaye sema ukweli?
Chadema ndio wa kwanza kucheza ngoma inayopigwa CCM, vicheko na furaha kedekedeNijaribu kusema kitu ambacho hakipo??
Hivi mataga pori hamuwezi kutatua mamatizo yenu ya ndani bila kuwawaza chadema?
Next time muepuke kuleta watu wenye vyeti milembe.Chadema ndio wakwanza kucheza ngoma inayopigwa ccm , vicheko na furaha kedekede
Hahahaaa... Mahakama ya mafisadi si ipo? Mnasubiri ni kumfungulia mashtaka? Ufisadi wake umeonekana leo? Mwenyekiti wa CCM mkoa tena mkoa muhimu kiuchumi ujue. Mna ndimi elfu enyi wanafiki.
Vita mmejaribu na mwendo wa kisiasa mmeumaluzaUnapomwongelea marehemu, huwaongelei wanaCCM pekee bali unaongelea madhira waliyoyapata watanzania wote.
Acha upumbavu wewe mzeekujaribu kumchafua jpm kwa namna yeyote ile ni uchaguzi wa mtu mjinga tu.
jpm ana bond na taifa hili,nawasihi wapumbavu wachache wanaodhani wanaweza kifanikiwa.
Bond ipi ya kuuwa watu? Tuambieni Ben Rabiu Saanane alipo na Nani alimpiga Lissu risasi tutamsamehe huyo iddi amini wa Tanzania.kujaribu kumchafua jpm kwa namna yeyote ile ni uchaguzi wa mtu mjinga tu.
jpm ana bond na taifa hili,nawasihi wapumbavu wachache wanaodhani wanaweza kifanikiwa.
Matusi tuTutaendelea kuwanyoosha
Au sio...kujaribu kumchafua jpm kwa namna yeyote ile ni uchaguzi wa mtu mjinga tu.
jpm ana bond na taifa hili,nawasihi wapumbavu wachache wanaodhani wanaweza kifanikiwa.