Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

Nimeangalia highlights za KO zote 18 za Joshua yupo vizuri sana huyo jamaa. Anapiga ngumi hadi mwenyewe unaomba poo
 
Hili pambano litakuwa burudani ya nguvu sana. Tatizo ni kupata source yenye uhakika na isiyo na chenga kuliona hilo pambano.
 
Hili pambano litakuwa burudani ya nguvu sana. Tatizo ni kupata source yenye uhakika na isiyo na chenga kuliona hilo pambano.

Kwa watu wanaotumia TV cable kama Milan etc wataina ila hii mi tv kama star,ch 10 ,Azam yenyewe inajua futbal tu
 
Hili pambano si jpesi kama unavyodhan klitschko ni mmoja wa mabondia wenye hard chins. Anthony hajakumbana na watu wenye roho kama ya evander holyfield au huyu klitschko. Pambano ni gumu sabab jamaa ana uvumilivu wa maumivu kwa kiasi kikubwa sana. Wakat anthony joshua ana uoga kias wa kuharibiwa uso. Klitschko ni mgumu kuanguka pia.

Na ukichukulia na uzoefu wake wa kupigana mapambano zaid ya 60 usimchukulie rahisi hata kidogo.hili ni pambano kubwa la kimataifa

Kila mtu anaongea muda wake , mara saa nne, mara saa tano, mara saa saba tuamini lipi?Maana huyu mnigeria wa uingereza ni hatari katika dunia ya sasa atamrarua huyo vladmir mapema kabisa.

1. Yeye ana uwezo wa kutumia mikono yote miwili kwa kasi na nguvu ya ajabu wakati KLITCHKO anatumia zaidi mkono wa kushoto

2. Yeye ana nguvu za mikono na kila kombora analorusha ni nusu ya kifo hata ukikinga kwa mikono utaumia hadi kuuacha uso wakati KLITCHKO ni wale wapiganaji wanaoyegemea point

3. Upiganaji wake ni ule wa kufuata adui kwa kumshambulia tofauti na mwenzake anayejihami na kushambulia kwa kuvizia

4. Ni mtaalamu saana wa kupiga mapigo ya combination kitendo ambacho akikubahatisha moja ujua kwa sekunde moja zitafuatia zaidi ya ngumi thelathini hapo hapo pona yako ni kujidondosha

5. Ni mtaalamu kweli kweli wa kupiga ngumi ya dharau " UPPERCUT" na kikuwasha kwenye kidevu lazima udondoke chini

6. POLE SANA CLITHKO kwa kipigo utakachokipata usiku huu ambao huku madongo kuinama hatujajua muda kamili wala TV gani itaonyesha maana TV za bongo hazijui chochochote kinachoendelea duniani kwenye michezo zaidi ya MPIRA WA MIGUU.
 
Kila mtu anaongea muda wake , mara saa nne, mara saa tano, mara saa saba tuamini lipi?Maana huyu mnigeria wa uingereza ni hatari katika dunia ya sasa atamrarua huyo vladmir mapema kabisa.

1. Yeye ana uwezo wa kutumia mikono yote miwili kwa kasi na nguvu ya ajabu wakati KLITCHKO anatumia zaidi mkono wa kushoto

2. Yeye ana nguvu za mikono na kila kombora analorusha ni nusu ya kifo hata ukikinga kwa mikono utaumia hadi kuuacha uso wakati KLITCHKO ni wale wapiganaji wanaoyegemea point

3. Upiganaji wake ni ule wa kufuata adui kwa kumshambulia tofauti na mwenzake anayejihami na kushambulia kwa kuvizia

4. Ni mtaalamu saana wa kupiga mapigo ya combination kitendo ambacho akikubahatisha moja ujua kwa sekunde moja zitafuatia zaidi ya ngumi thelathini hapo hapo pona yako ni kujidondosha

5. Ni mtaalamu kweli kweli wa kupiga ngumi ya dharau " UPPERCUT" na kikuwasha kwenye kidevu lazima udondoke chini

6. POLE SANA CLITHKO kwa kipigo utakachokipata usiku huu ambao huku madongo kuinama hatujajua muda kamili wala TV gani itaonyesha maana TV za bongo hazijui chochochote kinachoendelea duniani kwenye michezo zaidi ya MPIRA WA MIGUU.
Mkuu umeongea kishabiki...Klitschko mkono wake wa kulia hautumii mara nyingi.....ila akiutumia ujue una balaa zito. Joshua kwa mara ya kwanza anaenda kukutana na mpinzani mzoefu na mvumilivu.

Joshua atapoteza pambano hili raundi za jua kuzama.

Amini maneno yangu.
 
Wamekuwa kwa kipindi kadhaa sasa hawaonesh mapambano ya Masumbwi na sijaona matangazo ila kuna mtu kasema Sup sport 6 itaonesha. Sina uhakika. Nimeangalia pia TV 1 WANADAI WATAONESHA INGAWA MUDA WALIOTAJA NDO NASHINDWA ELEWA WANASEMA SAA 2 USIKU.


DSTV hawaoneshi kabisa mkuu?
 
Wamekuwa kwa kipindi kadhaa sasa hawaonesh mapambano ya Masumbwi na sijaona matangazo ila kuna mtu kasema Sup sport 6 itaonesha. Sina uhakika. Nimeangalia pia TV 1 WANADAI WATAONESHA INGAWA MUDA WALIOTAJA NDO NASHINDWA ELEWA WANASEMA SAA 2 USIKU.
Sawa mkuu
 
Inamaana gani kuwa na mang'amuzi alafu huna uhakika wa kutizama mtanange mkali ka huu....

Ujinga...

Najisogeza Pub mapeema...
 
Back
Top Bottom