Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!saa 2 usiku TV1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!
TV 1Jamani mpaka sasa hakuna chanel ya ndani itayoonyesha.?
Hahaha....hakika inakera ... Clouds TV wanasema watarusha pambano kupitia tovuti yao.... !!!!!!!!!????????Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!
Shukran Mkuu na iwe hivyo.!TV 1
Aliyesema ana aleji na nuclear za trumpAlizaliwa kazakhstan ila ana uraia wa Ukrain mika 41 iliyopita. So ni m ukrain sijajua kwa nini mtu flan kasema ni mrusi.
Tena Anthony akileta usharo yatakuta leoHili pambano si jpesi kama unavyodhan klitschko ni mmoja wa mabondia wenye hard chins. Anthony hajakumbana na watu wenye roho kama ya evander holyfield au huyu klitschko. Pambano ni gumu sabab jamaa ana uvumilivu wa maumivu kwa kiasi kikubwa sana. Wakat anthony joshua ana uoga kias wa kuharibiwa uso. Klitschko ni mgumu kuanguka pia.
Na ukichukulia na uzoefu wake wa kupigana mapambano zaid ya 60 usimchukulie rahisi hata kidogo.hili ni pambano kubwa la kimataifa
Hahahaaaa umechambua vzr sana mkuu. Huyu AJ anadunda ngumi kali sana ingawa kliitshko naye vipigo vyake ni vikali.Kila mtu anaongea muda wake , mara saa nne, mara saa tano, mara saa saba tuamini lipi?Maana huyu mnigeria wa uingereza ni hatari katika dunia ya sasa atamrarua huyo vladmir mapema kabisa.
1. Yeye ana uwezo wa kutumia mikono yote miwili kwa kasi na nguvu ya ajabu wakati KLITCHKO anatumia zaidi mkono wa kushoto
2. Yeye ana nguvu za mikono na kila kombora analorusha ni nusu ya kifo hata ukikinga kwa mikono utaumia hadi kuuacha uso wakati KLITCHKO ni wale wapiganaji wanaoyegemea point
3. Upiganaji wake ni ule wa kufuata adui kwa kumshambulia tofauti na mwenzake anayejihami na kushambulia kwa kuvizia
4. Ni mtaalamu saana wa kupiga mapigo ya combination kitendo ambacho akikubahatisha moja ujua kwa sekunde moja zitafuatia zaidi ya ngumi thelathini hapo hapo pona yako ni kujidondosha
5. Ni mtaalamu kweli kweli wa kupiga ngumi ya dharau " UPPERCUT" na kikuwasha kwenye kidevu lazima udondoke chini
6. POLE SANA CLITHKO kwa kipigo utakachokipata usiku huu ambao huku madongo kuinama hatujajua muda kamili wala TV gani itaonyesha maana TV za bongo hazijui chochochote kinachoendelea duniani kwenye michezo zaidi ya MPIRA WA MIGUU.
mpaka sasa naona kimya...sijajua kama ntaona mtanange huu ... na walisisitiza kwenye page yao kuwa watarusha saa mbili usikuTv 1 walisema watarusha
haha muongoMkuu umeongea kishabiki...Klitschko mkono wake wa kulia hautumii mara nyingi.....ila akiutumia ujue una balaa zito. Joshua kwa mara ya kwanza anaenda kukutana na mpinzani mzoefu na mvumilivu.
Joshua atapoteza pambano hili raundi za jua kuzama.
Amini maneno yangu.
Mkuu hii kitu tv1 wataifanya saa ngapi.Tv 1 walisema watarusha