Anthony Lusekelo adai Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na masikini kuikosa mbingu ni 99.9%,

Anthony Lusekelo adai Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na masikini kuikosa mbingu ni 99.9%,

Jibu hoja Mkuu
Actually, huyu jamaa huwa anasoma Biblia literally kama mtu anavyosoma kitabu Cha historia au jiografia. Biblia haisomwi hivyo. Lugha ya Biblia ni tofauti. Ni lugha inayomtaka msomaji atafsiri kama ilivyo kwa sheria. Huwezi kusoma sheria hivi hivi tu, lazima utafsiri/upate maana yake otherwise you get it wrong. Ndiyo maana kuna watu wanasomea. It's not for fun, bali ili waweze kutapata tafsiri sahihi. Hata kwa sheria lazima usomee ili uweze kutafsiri vizuri, otherwise you get wrong!
 
Labda kachanganyikiwa, ni konyagi inaongea. " hakika nawaambia kwa tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano "
 
Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu Bali nukuu kutoka Kwa Mtume Anthony Lusekelo

"Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na uwezekano wa masikini kuikosa mbingu ni 99.9%, Mungu huwa hatembei na malofa(masikini) na amesema asiwaone malofa kanisani. Mungu amekataa watu wasije kanisani mikono mitupu waje wenye hela tu "

"Watumishi wa Mungu, wajane na mayatima wanategemea sadaka yako Mungu ameeleza hivyo. Kwahiyo kama wewe ni lofa hauna sadaka usiende kanisani" - amesema mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako

Source: Swahili World page on Facebook
ningekuwa na pesa huyu mzee ningemuweka kwenye kiwanda changu cha pombe kujua asilimia ya pombe kuliko kupeleka TBS
 
Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu Bali nukuu kutoka Kwa Mtume Anthony Lusekelo

"Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na uwezekano wa masikini kuikosa mbingu ni 99.9%, Mungu huwa hatembei na malofa(masikini) na amesema asiwaone malofa kanisani. Mungu amekataa watu wasije kanisani mikono mitupu waje wenye hela tu "
Nawaambia tena, Ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Mathayo 19:24

"Watumishi wa Mungu, wajane na mayatima wanategemea sadaka yako Mungu ameeleza hivyo. Kwahiyo kama wewe ni lofa hauna sadaka usiende kanisani" - amesema mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako

Source: Swahili World page on Facebook
1 Akainua macho yake akawaona matajiri wakitia sadaka zao katika sanduku la hazina.

Luka 21:1
2 Akamwona mjane mmoja maskini akitia mle senti mbili.

Luka 21:2
3 Akasema, Hakika nawaambia, huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote;

Luka 21:3
4 maana, hao wote walitia sadakani katika mali iliyowazidi, bali huyu katika umaskini wake ametia vyote alivyokuwa navyo.


Luka 21:4


===============
Huyo Lusekelo Yuko kinyumenyume na bosi wake YESU. Tumwamini nani? YESU au Lusekelo?

Hao ndiyo manabii wa uongo waliozungumzwa katika bible 👇👇

1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

1 Yohana 4:1
 
Aliyekuwa anamuhoji huyo fala, angemuuliza je yule Lazaro aliyeandikwankatika Biblia kuwa ni amskini na alipokufa akaenda mbinguni, alimzidi vipi sadaka yuke tajiri aliyeenda jehanamu baada ya kufa?
 
Back
Top Bottom