Actually, huyu jamaa huwa anasoma Biblia literally kama mtu anavyosoma kitabu Cha historia au jiografia. Biblia haisomwi hivyo. Lugha ya Biblia ni tofauti. Ni lugha inayomtaka msomaji atafsiri kama ilivyo kwa sheria. Huwezi kusoma sheria hivi hivi tu, lazima utafsiri/upate maana yake otherwise you get it wrong. Ndiyo maana kuna watu wanasomea. It's not for fun, bali ili waweze kutapata tafsiri sahihi. Hata kwa sheria lazima usomee ili uweze kutafsiri vizuri, otherwise you get wrong!Jibu hoja Mkuu
ningekuwa na pesa huyu mzee ningemuweka kwenye kiwanda changu cha pombe kujua asilimia ya pombe kuliko kupeleka TBSWadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu Bali nukuu kutoka Kwa Mtume Anthony Lusekelo
"Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na uwezekano wa masikini kuikosa mbingu ni 99.9%, Mungu huwa hatembei na malofa(masikini) na amesema asiwaone malofa kanisani. Mungu amekataa watu wasije kanisani mikono mitupu waje wenye hela tu "
"Watumishi wa Mungu, wajane na mayatima wanategemea sadaka yako Mungu ameeleza hivyo. Kwahiyo kama wewe ni lofa hauna sadaka usiende kanisani" - amesema mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako
Source: Swahili World page on Facebook
Nawaambia tena, Ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.Wadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu Bali nukuu kutoka Kwa Mtume Anthony Lusekelo
"Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na uwezekano wa masikini kuikosa mbingu ni 99.9%, Mungu huwa hatembei na malofa(masikini) na amesema asiwaone malofa kanisani. Mungu amekataa watu wasije kanisani mikono mitupu waje wenye hela tu "
1 Akainua macho yake akawaona matajiri wakitia sadaka zao katika sanduku la hazina."Watumishi wa Mungu, wajane na mayatima wanategemea sadaka yako Mungu ameeleza hivyo. Kwahiyo kama wewe ni lofa hauna sadaka usiende kanisani" - amesema mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako
Source: Swahili World page on Facebook