Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
 
Hakika mkuu mtaka alikuja Mtera kutatua tatizo la mradi wa Maji ambalo msingi wa tatizo hilo ni wizi na aliahidi kuja baada ya miezi 3 kabla hajaja kahamishiwa mkoa mwingine. Wa njombe tunafahamu ni hujuma tu.
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Huyu ni jembe ,
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.
Naunga mkono hoja, hili ni jembe la ukweli


Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Hii sii haki! maana unamaanisha hata mamlaka ya uteuzi ni kila..

Mtaka amebainika ni "A Leader of Changes" ni tranformational leader, popote alipo anabadili kama alivyoibadili Simiyu, anapelekwa mikoa yenye fursa zinazohitaji leaders of change, hivyo mkoa wa Njombe sasa hivi atau transform.

P
 
Hii ngoma inatakiwa iwe kwenye baraza la mawaziri KWa sasa ,na apewe wizara ya Tamsemi alafu muone Kama mama atalalamika au wabunge watalalamika pesa kuibiwa, mpeni mwaka mmoja alafu muone , tatizo hatuangalii mbele
Naunga mkono hoja, hili ni jembe la ukweli



Hii sii haki! maana unamaanisha hata mamlaka ya uteuzi ni kila..

Mtaka amebainika ni "A Leader of Changes" ni tranformational leader, popote alipo anabadili kama alivyoibadili Simiyu, anapelekwa mikoa yenye fursa zinazohitaji leaders of change, hivyo mkoa wa Njombe sasa hivi atau transform.

P

Ta
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.
Naunga mkono hoja, hili ni jembe la ukweli


Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Hii sii haki! maana unamaanisha hata mamlaka ya uteuzi ni kila..

Mtaka amebainika ni "A Leader of Changes" ni tranformational leader, popote alipo anabadili kama alivyoibadili Simiyu, anapelekwa mikoa yenye fursa zinazohitaji leaders of change, hivyo mkoa wa Njombe sasa hivi atau transform.

P
Hii ngoma inatakiwa iwe kwenye baraza la mawaziri KWa sasa ,na apewe wizara ya Tamsemi alafu muone Kama mama atalalamika au wabunge watalalamika pesa kuibiwa, mpeni mwaka mmoja alafu muone , tatizo hatuangalii mbele

Ta
Naunga mkono hoja
P
 
Nakuelewa mkuu Sana Sana binfsi Nina Jambo langu na Nabii mkuu, shida inakuja tu kwamba watu wanaanza jimwambafahi Kama vile wengine vichaa hapa, ila ulicho ongea napokea but ombi langu pata no yake moja KWa mmoja basi
Wengine Mara katibu Mara nini, kwamba sijui kanisa lina katibu? Na Kama kuomba si ningeomba no ya katibu?
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
 
Nakuelewa mkuu Sana Sana binfsi Nina Jambo langu na Nabii mkuu, shida inakuja tu kwamba watu wanaanza jimwambafahi Kama vile wengine vichaa hapa, ila ulicho ongea napokea but ombi langu pata no yake moja KWa mmoja basi
Wengine Mara katibu Mara nini, kwamba sijui kanisa lina katibu? Na Kama kuomba si ningeomba no ya katibu?

[mention]Ngongo [/mention] jamaa keshakuja kutuita vichaa huku ndio kaharibu kabisa ngoja tumkomeshe sasa
 
Huwezi ingilia Jambo ambalo watu wameomba no tu ,Sasa huyu sijui katibu anajitambua kweli? Tungetaka no yake tungeomba na tena no ya mtumishi imeombwa inbox , yeye anataka jua KILA kitu Cha mteja amekua nani?
[mention]Ngongo [/mention] jamaa keshakuja kutuita vichaa huku ndio kaharibu kabisa ngoja tumkomeshe sasa
 
Huwezi ingilia Jambo ambalo watu wameomba no tu ,Sasa huyu sijui katibu anajitambua kweli? Tungetaka no yake tungeomba na tena no ya mtumishi imeombwa inbox , yeye anataka jua KILA kitu Cha mteja amekua nani?
Hii msg nilikoea samahani Kama da , Mtaka jembe
 
Back
Top Bottom