Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Dodoma majambazi wa Aridhi Jiji ndiyo wamemfitini akaondolewa
Maana watumishi was Jiji wamedhulumu wananchi ardhi mpaka zenye miliki zilizo pimwa kisheria na hati Nkuhungu broad acre
 
rais kama anaakili aondoe hizi takataka zinazolipa wapiga debe mitandaoni ili zibaki madarakani.

MTAKA HANA KITU ZAIDI YA KUBWATUKA. DODOMA KAJENGA SOKO LA MACHINGA LA KIPUMBAVU KUWAHI KUTOKEA.

apumzishwe akili mpya zinatakiwa. mtaka anakasumba za magufuli za kutumia nyundo badala ya akili.

Hafai.
 
Wasipo mjali ipo siku ,atakutana na watu wengine watamnyanyua na kuwa pale anastahili kuwepo
Mtaka anaingia kwa KIGWANGALA mara elfu tisini.

Mtaka kwanza sio msomi...ni mropokaji anaeunganisha matukio na coincidences kujifanya anavitu.

Seriously....namkubali KIGWANGALA 100 times kuliko mtaka japo Kigangala nae zama zimempita hata ubunge hafai kuendelea 2025 ila ananafuu
 
Naunga mkono hoja, hili ni jembe la ukweli



Hii sii haki! maana unamaanisha hata mamlaka ya uteuzi ni kila..

Mtaka amebainika ni "A Leader of Changes" ni tranformational leader, popote alipo anabadili kama alivyoibadili Simiyu, anapelekwa mikoa yenye fursa zinazohitaji leaders of change, hivyo mkoa wa Njombe sasa hivi atau transform.

P

Anaweza kuonesha tofauti kati ya Leader vs Good Leader.
 
Humjui huyu mwamba mkuu, yule ni Mara 20 ya mawaziri wako
Mtaka anaingia kwa KIGWANGALA mara elfu tisini.

Mtaka kwanza sio msomi...ni mropokaji anaeunganisha matukio na coincidences kujifanya anavitu.

Seriously....namkubali KIGWANGALA 100 times kuliko mtaka japo Kigangala nae zama zimempita hata ubunge hafai kuendelea 2025 ila ananafuu
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Mnatuchosha na nyie na upuuzi wenu wa Mtaka kila siku..

Tunataka tuone Vitendo sio mdomo mdomo.
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Uzalendo wake ni upi? Kama anakwamishwa si aachie ngazi ili kulinda uzalendo wake? Hakuba kitu hapo, jamaaa nacheza na akili za vilaza kama wewe hapo, Hii bongo ukiweza kucheza na akili za vilaza basi umewini
 
Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.

Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.

Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.

CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.

CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.

Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.

Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.

Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.

Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.

Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Antony bana, umeamua kuja na hii ID
 
Back
Top Bottom