Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Asante, ila uwe unakumbuka MTAKA ni Kiongozi wa kawaida sana usidanganywe na MEDIA.
Sio kweli, ni kati ya viongozi wanaotumia akili kubwa , uyu bwana anauwezo wa kufuatilia Jambo limeanzishwa mikononi mwake mpaka kuona matokeo yake, hii ni sifa wanayo viongozi wachache na ndo maana taifa limelala,

Uyu apewe TAMISEMI Mtashangaa,
 
Ni sawa lakini ukiwa na Wakubwa karibu haichukui muda kujua tabia zako za hovyo, huko machakani mpaka wajue atakuwa ameshawaagiza CHAWA wake wamsafishe.
lakini kwa rank aliyejuu ya RC ni PM, Makamu wa rais, Spika wa bunge, Jaji mkuu na Rais mwenyewe. RC yuko rank sawa na waziri. waziri hawezi kuwadabisha rc
 
lakini kwa rank aliyejuu ya RC ni PM, Makamu wa rais, Spika wa bunge, Jaji mkuu na Rais mwenyewe. RC yuko rank sawa na waziri. waziri hawezi kuwadabisha rc
Naongelea Wakubwa Waliomteua, wanaoweza kumhamisha au hata kumtengua. Haukunielewa sbb sikuongelea eti cheo cha RC kinalingana na cheo cha viongozi gani serikalini
 
Sio kweli, ni kati ya viongozi wanaotumia akili kubwa , uyu bwana anauwezo wa kufuatilia Jambo limeanzishwa mikononi mwake mpaka kuona matokeo yake, hii ni sifa wanayo viongozi wachache na ndo maana taifa limelala,

Uyu apewe TAMISEMI Mtashangaa,
Acha uzwazwa, kwahiyo wewe hutumii akili? Mbona unalazimisha visivyolazimishika??
 
Nafikili pia mawaziri wanaoteuliwa, ni vyema pamoja na majukum kupewa mpango kazi wa kila mwaka ,wapi anatakiwa kuifikisha wizara na ndo kiwe kipimo Cha yeye kuendelea kuwa waziri , hapa patakua hakuna Cha kujipendekeza ili kubaki Kama waziri bali upigaji wa kazi tu,

Sasa unakuta waziri anacheza na mdundo , mwisho unakuta miaka mitano imetimia kila kitu kagusagusa ,na hakuna kilichokamilika for 100%, akiamishwa wizara anaekuja nae anaanza kugusa gusa,

Wanatakiwa kupewa mpango kazi wa kila mwaka na ndo uwe kipimo Cha kuendelea Kama waziri vinginevyo ni kufukuzwa na kupewa burn ya kutokua waziri katika wizara nyingine,

Mfano unakuta Mradi flani upo chini wizara flani, haukamiliki ,pesa zimepelekwa na kutafunwa, au umetekelezwa chini ya kiwango, wizara ipo waziri yupo unajiuliza mpaka ubongo unafika mwisho wa kufikilia, au waziri anafanya hovyo kwenye wizara flani then anapelekwa Wizara flani, unajiuliza kweli hakuna watu wanaweza kuteuliwa Hata nje ya bunge na kujaza nafasi za mawaziri mizigo , NAFASI ZILE ZA RAIS si zipo? Na wenda zipo ili Rais azitumie ziba mapungufu ya namna hii, Sasa utashangaa
 
Acha uzwazwa, kwahiyo wewe hutumii akili? Mbona unalazimisha visivyolazimishika??
Wewe wenda ndo kiongozi wa mazwazwa, na wenda ni mfano wa wale wasitumia akili, kwamba katika post unaokota kipande ka kutotumia akili, Jibu post yote kulingana na nini kimegusiwa

Sasa mtu kama wewe utawapenda watu kama wakina Mtaka?
 
Jibu post yote kulingana na nini kimegusiwa
Ulichoeleza ktk post yako kwa kifupi ni Kumsifia Mtaka kuwa ni Kiongozi mzuri, sasa mimi nakwambia Mtaka ni Kiongozi wa kawaida mnoooo kuliko ulivyoleweshwa na Media,
sasa naona hautaki mimi nitoe maoni yangu huru? Mbona unatokwa na mapovu sanaa? Umesahau nimekwambia naongea mimi kama Cannibal OX kutoka Suguti.....
 
Ulichoeleza ktk post yako kwa kifupi ni Kumsifia Mtaka kuwa ni Kiongozi mzuri, sasa mimi nakwambia Mtaka ni Kiongozi wa kawaida mnoooo kuliko ulivyoleweshwa na Media,
sasa naona hautaki mimi nitoe maoni yangu huru? Mbona unatokwa na mapovu sanaa? Umesahau nimekwambia naongea mimi kama Cannibal OX kutoka Suguti.....
Na je unalizungumziaje baraza la mawaziri wote wako vizuri,? Mtaka apewe nafasi kwenye baraza then ndo tumuhukum ,
 
Naongelea Wakubwa Waliomteua, wanaoweza kumhamisha au hata kumtengua. Haukunielewa sbb sikuongelea eti cheo cha RC kinalingana na cheo cha viongozi gani serikalini
wakubwa waliomteua ni hao watatu- rais, PM na Makamu wa rais, ndiyo vyeo vya juu ya mkuu wa mkoa. Au unadhani waziri ni mkubwa kuliko mkuu wa mkoa? waziri ni rank sawa na rc ni vile waziri ni political position tu anaruhusiwa kuzurura nchi nzima.

Ndiyo sababu chini ya RC kuna RAS ambaye kwa rank ni sawa na Katibu Mkuu wa wizara.
Soma katiba na miongozi ya uongozi serikalini ujiongezee ufahamu
 
wakubwa waliomteua ni hao watatu- rais, PM na Makamu wa rais, ndiyo vyeo vya juu ya mkuu wa mkoa. Au unadhani waziri ni mkubwa kuliko mkuu wa mkoa? waziri ni rank sawa na rc ni vile waziri ni political position tu anaruhusiwa kuzurura nchi nzima.

Ndiyo sababu chini ya RC kuna RAS ambaye kwa rank ni sawa na Katibu Mkuu wa wizara.
Soma katiba na miongozi ya uongozi serikalini ujiongezee ufahamu
Acha uongo. RC ana eneo dogo sana la kuamua, waziri ni Nchi nzima.

Yaani haingii akilini Nape waziri huku Mtaka RC. Hopeless.
 
Back
Top Bottom