Antony Mtaka kiongozi Shupavu, Mzalendo na Mwenye Maono

Dodoma majambazi wa Aridhi Jiji ndiyo wamemfitini akaondolewa
Maana watumishi was Jiji wamedhulumu wananchi ardhi mpaka zenye miliki zilizo pimwa kisheria na hati Nkuhungu broad acre
 
rais kama anaakili aondoe hizi takataka zinazolipa wapiga debe mitandaoni ili zibaki madarakani.

MTAKA HANA KITU ZAIDI YA KUBWATUKA. DODOMA KAJENGA SOKO LA MACHINGA LA KIPUMBAVU KUWAHI KUTOKEA.

apumzishwe akili mpya zinatakiwa. mtaka anakasumba za magufuli za kutumia nyundo badala ya akili.

Hafai.
 
Wasipo mjali ipo siku ,atakutana na watu wengine watamnyanyua na kuwa pale anastahili kuwepo
Mtaka anaingia kwa KIGWANGALA mara elfu tisini.

Mtaka kwanza sio msomi...ni mropokaji anaeunganisha matukio na coincidences kujifanya anavitu.

Seriously....namkubali KIGWANGALA 100 times kuliko mtaka japo Kigangala nae zama zimempita hata ubunge hafai kuendelea 2025 ila ananafuu
 
Anaweza kuonesha tofauti kati ya Leader vs Good Leader.
 
Humjui huyu mwamba mkuu, yule ni Mara 20 ya mawaziri wako
 
Mnatuchosha na nyie na upuuzi wenu wa Mtaka kila siku..

Tunataka tuone Vitendo sio mdomo mdomo.
 
Uzalendo wake ni upi? Kama anakwamishwa si aachie ngazi ili kulinda uzalendo wake? Hakuba kitu hapo, jamaaa nacheza na akili za vilaza kama wewe hapo, Hii bongo ukiweza kucheza na akili za vilaza basi umewini
 
Antony bana, umeamua kuja na hii ID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…