Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Magufuli ndio alimpandisha na kumteua mkuu wa mkoa kutoka mkuu wa wilaya. Na kumbuka mtaka alikataliwa kwenye vetting ya ukuu wa mkoa, Ila Magufuli akasema anamuamini anaenda nae.Huyu mwendazake aliamini katika watu kama Msiba , Makonda, Sabaya sio wale watu makini
Nimeuliza kwamba leta kitu tangible Cha Mtaka hakuna aliyeleta hadi dakika hii.Chawa njaa huwa hawawezi ku buck hoja zao Kwa ushahidi ila blaa blaa na kupanua Domo.Acha porojo mkuu JF ni home of great thinkers.
Lete hoja Za kupinga utendaji kaxi wake
WeweNjoo lofa umeelewa nilicho andika au imedandia treni kwa mbeleWeweNjoo na data ,wafikili Dodoma wahifaham peke yako, mafisadi wamejimilokisha aridhi wamsingizia Mtaka, na WENDA kaondolewa na hujuma za mafisadi Ili yasiumbuliwe, mijitu inamiloki maheka ya kufa mtu,unamsema Mtaka, huna akili
Unatafunwa na laana ya ukoo sio bure,kwenda zako , sijibizani na watu wapumbavu na wasiojitambuaWeweNjoo lofa umeelewa nilicho andika au imedandia treni kwa mbele
Ndio maana anatajwa sana kwenye Mbio za Urais 2025 rejea maelezo ya RC CHALAMILAHuyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.
Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.
Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.
CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.
CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.
Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.
Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.
Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.
Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.
Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Hata hayati Magufuli alisema hujuma ni kubwa kuhusu kufunguliwa maji ili umeme ukosekane!!Hakika mkuu mtaka alikuja Mtera kutatua tatizo la mradi wa Maji ambalo msingi wa tatizo hilo ni wizi na aliahidi kuja baada ya miezi 3 kabla hajaja kahamishiwa mkoa mwingine. Wa njombe tunafahamu ni hujuma tu.
Watu wameshapiga hela kuanzisha nyuzi.Mnatuchosha na nyie na upuuzi wenu wa Mtaka kila siku..
Tunataka tuone Vitendo sio mdomo mdomo.
Naongea kama Cannibal OX kutoka SugutiUnaongea wewe Kama nani, mbona asilimia kubwa ya mawaziri level zao ni za ukurugenzi achana na u DC, watu wanapewa vyeo KWa thanks ,mnakuja na maneno gani hapa,
There your...kama alivyokosolewa kote alipotokaTutamkosa wana njombe, acheni kumsifia kuliko mno.
Semeni aliyotenda mpaka mkanwaga misifaNaunga mkono hoja, hili ni jembe la ukweli
Hii sii haki! maana unamaanisha hata mamlaka ya uteuzi ni kila..
Mtaka amebainika ni "A Leader of Changes" ni tranformational leader, popote alipo anabadili kama alivyoibadili Simiyu, anapelekwa mikoa yenye fursa zinazohitaji leaders of change, hivyo mkoa wa Njombe sasa hivi atau transform.
P
Kwa hiyo unamaanisha ktk Viongozi woote ni yeye peke yake hajapewa kama shukran? Kujipendekeza au kushawishi au kuomba au undugu?Unaongea wewe Kama nani, mbona asilimia kubwa ya mawaziri level zao ni za ukurugenzi achana na u DC, watu wanapewa vyeo KWa thanks ,mnakuja na maneno gani hapa,
Nakupa pole Sana Mimi ni mtu huru, na mwenye fikra huru siwezi KUWA mtumwa wa mtu au chawa wa mtu, ukitenda mazuri utaungwa mkono tuKwa hiyo unamaanisha peke yake hajapewa kama shukran? Kujipendekeza au kushawishi au kuomba au undugu?
Tulia Tu, kama umetumwa au ni chawa wake kamwambia vyote usichague mazuri utakuwa CHAWA MNAFIKI.
Asante, ila uwe unakumbuka MTAKA ni Kiongozi wa kawaida mnoooo, usidanganywe na MEDIA.Nakupa pole Sana Mimi ni mtu huru, na mwenye fikra huru siwezi KUWA mtumwa wa mtu au chawa wa mtu, ukitenda mazuri utaungwa mkono tu
Mimi binafsi nilisikitika sana Mtaka kupelekwa Dodoma na nilifurahi sana alivyotolewa dodoma kwa sababu dodoma na dar es salaam, wakuu wa mikoa ni protocol officers tu, kazi yao kubwa ni kuwapokea viongozi. Kwa dodoma kila rais, waziri mkuu au makamu wa rais akitua pale airport lazima mkuu wa mkoa awepo kumpokea.Huyu bwana ni moja ya watanzania wachache wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu. Kwa Kariba yake ukuu wa mkoa ni nafsi ndogo Sana. Alipaswa awepo kwenye ngazi za juu za maamuzi ya Nchi.
Tatizo linakuja tu ni Nchi aliyopo na mfumo wa sasa wa ubadhilifu mwingi amabao Kwa ufupi hawezi kuingia.
Enzi za magufuli siyo tu kwamba alikuwa anasifiwa bure Hapana, aliyoyatenda simiyu hawatamsahau alikuwa mkombozi wao.
CCM wanajitahidi Sana kumnyamazisha hata DODOMA hakutolewa kwenda njombe Kwa bahati mbaya, maana mitazamo Yake Hakuna kiongozi yeyote anayemfikia hata raisi mwenyewe.
CCM Wanaamini kumwacha aendelee kuhuburi anayoyaamini ni kama anakuwa anawadharirisha viongozi wake.
Ndo hivyo ni binadamu na anaijua CCM vizuri ukiwa jeuri kupindukia unazikwa hii imepelekea watu wengi wenye weledi kukaa kimya wakihofia maisha yao, magufuli tu Ndo alijitoa mhanga.
Mbunge wa sengerema CCM Hamisi Tabasamu alishasema wazalendo Nchi hii ni wakutafuta Kwa tochi, na ukiwa mzalendo utafuatiliwa kwelikweli, Lakini Hata Humphrey polepole kwenye mahojiano na Dar 24 jambo hili alilitamka.
Huyu bwana atabaki kuwa mzalendo pengine utatokea mfumo huko mbele ambao utampa mamlaka ya juu zadi ili aweze kulivusha Taifa kwenda hatua nyingine.
Naamini hata hii Leo ukimuliza MTAKA suluhisho la uhaba wa maji na kukatikakatika Kwa umeme majibu atakayokupa yanaweza kuwa dhihaka kwa watawala.
Lakini hamna namna, Ngoja tuendelee na vilanza wetu ila ipo siku mawe yataongea.
Ni sawa lakini ukiwa na Wakubwa karibu haichukui muda kujua tabia zako za hovyo, huko machakani mpaka wajue atakuwa ameshawaagiza CHAWA wake wamsafishe.Mimi binafsi nilisikitika sana Mtaka kupelekwa Dodoma na nilifurahi sana alivyotolewa dodoma kwa sababu dodoma na dar es salaam, wakuu wa mikoa ni protocol officers tu, kazi yao kubwa ni kuwapokea viongozi. Kwa dodoma kila rais, waziri mkuu au makamu wa rais akitua pale airport lazima mkuu wa mkoa awepo kumpokea.
Kwa mkuu wa mkoa mtendaji mzuri kama Mtaka kuweka Dodoma, it was a slap on his face, ukizingatia wakazi wa dodoma ni wavivu tu na hali ya hewa ni mbaya inafanya mtu uwe na akili za kizembezembe tu.
Hata yeye ukimuuliza nina uhakika atakiri hivyo.