Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Boss wa ofisi hiyo sio Diwani ?
Andika kwa Katibu Mkuu Kiongozi ndo boss wa ofisi hiyo, anayesaini ni vema awe Katibu Mkuu pia au rank inayofanana na hiyo kiutawala
Katibu Mkuu Kiongozi,
S.L.P. 1102,
1 Barabara ya Julius Nyerere,
Chamwino,
DODOMA