Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Na kuna ikulu@ikulu.go.tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuna ikulu@ikulu.go.tz
uko mkoa gani kama uko dar nenda makumbusho pale getini uwape itafikaNdugu wanajamvi, msaada tafadhari anayefahamu anuani au barua pepe ya ofisi ya TISS,
Nimepewa task ya kiofisi nitume barua ya kwenda ofisi TISS makao makuu
Au ni njia gani nyingine naweza kuitumia kutuma barua au kuweza kufika ofisini kwao?
Naombeni msaada tafadhali.
nenda ofisi ya mkuu wa wilaya barua yako itafikanipo Geita mjini
nenda ofisi ya mkuu wa wilaya barua yako itafikanipo Geita mjini
Chukua bora boda hapo mjini waambie nipeleke Ofisi za usalama utafika bila tatizonipo Geita mjini
TISS wako chini ya Ofisi ya Rais ambayo mtendaji wake mkuu ni Katibu Mkuu Kiongozi.Boss wa ofisi hiyo sio Diwani ?
Kila wilaya kuna hizo ofisi za usalama wa taifa cha kufanya nenda ofisi za halmashauri ya wilaya au mkoa utaelekezwa uonane na afisa usalama au utaona ofisi zipo zipo tu ila hazina mabango yoyote ya ofisi hizo jua umefika
Ukienda hakikisha unetoa taarifa kwa ndugu zako wajue umeenda kwa watu wasio julikana.Ndugu wanajamvi, msaada tafadhari anayefahamu anuani au barua pepe ya ofisi ya TISS,
Nimepewa task ya kiofisi nitume barua ya kwenda ofisi TISS makao makuu
Au ni njia gani nyingine naweza kuitumia kutuma barua au kuweza kufika ofisini kwao?
Naombeni msaada tafadhali.
Naona mleta mada ana barua kwenye computer, labda aende na laptopKama upo karibu na wilayani ifikishe kwa DSO, mkoani kwa RSO.
Mbona watu wanahujumiwa na wao wapo nilikuwa sijui kama hizo ss zinasimama badala ya security servicesNdugu wanajamvi, msaada tafadhari anayefahamu anuani au barua pepe ya ofisi ya TISS,
Nimepewa task ya kiofisi nitume barua ya kwenda ofisi TISS makao makuu
Au ni njia gani nyingine naweza kuitumia kutuma barua au kuweza kufika ofisini kwao?
Naombeni msaada tafadhali.
Halafu cha ajabu unaweza kukuta wengine wapo hapo-hapo ulipo, wanakuchora tuu !!!Ndugu wanajamvi, msaada tafadhari anayefahamu anuani au barua pepe ya ofisi ya TISS,
Nimepewa task ya kiofisi nitume barua ya kwenda ofisi TISS makao makuu
Au ni njia gani nyingine naweza kuitumia kutuma barua au kuweza kufika ofisini kwao?
Naombeni msaada tafadhali.
Kwani huko ndio ajira za kumwaga au?Ajira zishakuwa ngumu haina budi hata mimi yakinishinda nawatumia tu hamna namna maisha ndio haya haya bhana tena nikiona sielewi kabisa na waandikia na bungeni kuomba ajira huko
Sio walimu TU hata watu wakubwa hasa watumishi was serikali ambao wanagombea nafasi za kisiasa na maboss zaoWewe utakuwa Mwalimu wa shule ya Msingi.
Mnapenda kuchomeana kweli!
Ni Kama nyumba ya kuishi tuu.ila zipo karibu na makao makuu ya wilaya/ mkoa.Hazina mabango.....