Anuani ya Tanzania Intelligence and Security Service (TISS), Nahitaji nitume barua

DGO, anzia hapo hapo Halmashauri uliyopo kuna ofisi ya Usalama wa Taifa, ama waweza mcheck mmoja wa kamati ya ulinzi na usalama hapo wilayani atakupatia ufumbuzi wa unachokihitaji.
aah ok nimekupata vizuri Pyaar
 
uko mkoa gani kama uko dar nenda makumbusho pale getini uwape itafika
 
Kila wilaya kuna hizo ofisi za usalama wa taifa cha kufanya nenda ofisi za halmashauri ya wilaya au mkoa utaelekezwa uonane na afisa usalama au utaona ofisi zipo zipo tu ila hazina mabango yoyote ya ofisi hizo jua umefika

Hahahahahahhahhha
 
Ukienda hakikisha unetoa taarifa kwa ndugu zako wajue umeenda kwa watu wasio julikana.
 
Mbona watu wanahujumiwa na wao wapo nilikuwa sijui kama hizo ss zinasimama badala ya security services

Tanzania Intelligence and Security Service (TISS)​

 
Nani huyo unataka umchomee anayehatarisha maisha yako
 
Ajira zishakuwa ngumu haina budi hata mimi yakinishinda nawatumia tu hamna namna maisha ndio haya haya bhana tena nikiona sielewi kabisa na waandikia na bungeni kuomba ajira huko
 
Kama kweli wao ni TISS basi wamekusikia na watakutafuta...
 
Halafu cha ajabu unaweza kukuta wengine wapo hapo-hapo ulipo, wanakuchora tuu !!!
 
Ajira zishakuwa ngumu haina budi hata mimi yakinishinda nawatumia tu hamna namna maisha ndio haya haya bhana tena nikiona sielewi kabisa na waandikia na bungeni kuomba ajira huko
Kwani huko ndio ajira za kumwaga au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…