Anyongwa hadi kufa kwa kupambana na 'Mungu'

Tawala ya Irani haina haja na watawaliwa
 
Lete ushahidi wa marekani kumkingia kifua israel kwa imani ya mungu wao aliacha maagizo..........yaani wewe unajifanya mjuaji kwa kugoogle tu wasukuma muna tabu sana
 
Aloo naskia kuna ajira zipo irani kazi ya kumlinda mungu mshahara unaanzia m2 kuendelea naskia mungu huyo ni laini laini kama madem wa kiarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala wa kishetani eti unajiita utawala wa Mungu!
Naamini hapa wanamtaja mungu wao shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…