Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Ukitaka kipigwa jichanganye hapa
Akili kichwani mwako kaka namm sijaitisha mtu yoyot tozo juu ya huu mchongo nasio kila mtu nitapeli kak nimeamua niwape wana mchongo kama mm nilivyopewa kwenye jarida nililo soma kama hutohitaji achana nao
 
Usikariri kaka elewa nin maana ya warranty 12 month maana yake bidhaa inauhakika
 
Iko poa hii...
 
Kaka kila biashara ina code maalum baina ya wateja na wauzaji kwa kariakoo huwez kupata experience yoyot juu ya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…