Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
- Thread starter
- #141
Ngeli babaMawasiliano na iyo kampun lugha gan inatumika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngeli babaMawasiliano na iyo kampun lugha gan inatumika?
Shukurani[emoji120]Sema watz ni wajinga Sana
Hawapendi kujifunza vitu vipya binafsi mtoa Mada upo vizuri sana
Yes kuanza ndy kila kitu jaribu tu atakuagiza pc2 tu alfu utajua ukweli sio lazm uanze naemzigo mkubwa anza nakidogo ili kujifunza zaidNimekubali sana regardless ubora lkn kajaribu sana
Daah hichi kichwaa siwez kuwa narafik kama wew nitafeli kabix unawza kushidwa muda wot duuuhKusema siyo original kama alivyosema ndiyo kukataa kujifunza vitu vipya? Yaani wewe unataka tukubali uongo? Kukubali uongo ndiyo kujifunza kitu kipya? Ulisoma shule gani wewe?
Kabisa kaka tz kuna vichwa vigumu SanaJF watu tuna stress.
Kitu positive tutakiundia zengwe.
Watu tuna mawazo na first instincts kwetu ni kujifanya tunajua kila kitu
Shukurani [emoji120][emoji120]Iko poa hii...
No nilikosea kuandika but wew chukua kile unachoona kizur kile kibaya kitupeMwamba uko makini...??? Ulisha wahi tapeliwa nin...?
Ndy boss jumla 21000/=Hizo alfu 25 rejareja?[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Ndugu uko makini Sana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ndugu ukiamua kujibu MTU mmoja mmoja utaumiza kichwa achana nao, kwa mtu mwenye akili ataelewa wewe umezungumzia simu lakini sio lazma wote tuuze simu unaweza ukaingia na ukachagua kwenda na bidhaa yoyote ingine maana huko kila bidhaa ni cheap, achana nao
Ndy ntakup bure ili uache Kutokuamin ukwel utapishan nafursa nying machon pako kwakuzan unatapeliwa na mm sijatak yoyot anilipe humu sasa how unatapeliwaMaiko......
Unipe Bure kabisa?
zausafirishaji shilingi laki 2 piah
Hakika kaka na sio lazima uagize simu waweza agiza nguo ,chaji za simu ,airport mbn vipo ving vyakufanya mkuuNgoja nipate madini.
Mtaji uko kistaarabu sana
Hizi ni og kwa kutazama tu software sema watu hawajui ipi feki ipi ogKaka china stok haziishi kuwa muelewa nasio 106 hadi 105 nimeagiza ni original kabisaView attachment 2605432
Kabla haujaagiza hakikisha unawasiliana nao kwanza kwasababu njia ya maji wanatoza kwa CM Kak muulize supplies wako mzigo wako unaCM ngap akikujibu watumei watakupa bei ya usafirVigezo gani walitumia kukuchaji laki mbili
Simu ndo dealHakika kaka na sio lazima uagize simu waweza agiza nguo ,chaji za simu ,airport mbn vipo ving vyakufanya mkuu
[emoji120][emoji120][emoji120]Good
Uwamuzi sahih kakSimu ndo deal