Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Kusema siyo original kama alivyosema ndiyo kukataa kujifunza vitu vipya? Yaani wewe unataka tukubali uongo? Kukubali uongo ndiyo kujifunza kitu kipya? Ulisoma shule gani wewe?
Daah hichi kichwaa siwez kuwa narafik kama wew nitafeli kabix unawza kushidwa muda wot duuuh
 
Ndugu ukiamua kujibu MTU mmoja mmoja utaumiza kichwa achana nao, kwa mtu mwenye akili ataelewa wewe umezungumzia simu lakini sio lazma wote tuuze simu unaweza ukaingia na ukachagua kwenda na bidhaa yoyote ingine maana huko kila bidhaa ni cheap, achana nao
Ndugu uko makini Sana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom