Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Huu uzi mzuri ukiwa positive.
Last week nimeagiza bidhaa kadhaa kwa matumizi binafsi na nyingine nitest soko.
Bidhaa kule inauzwa buku3 Hadi kufika huku.
Mtandaoni naona wanauza 15,000.
Leo zinafika Dar.
Kuna vitu vingi vinauzwa Alibaba Bei Chee ukicompare na bongo.
Unaweza kufanya research Bei za kule na huku.
Huwezi kukosa kitu Cha kuuza
 
Huu uzi mzuri ukiwa positive.
Last week nimeagiza bidhaa kadhaa kwa matumizi binafsi na nyingine nitest soko.
Bidhaa kule inauzwa buku3 Hadi kufika huku.
Mtandaoni naona wanauza 15,000.
Leo zinafika Dar.
Kuna vitu vingi vinauzwa Alibaba Bei Chee ukicompare na bongo.
Unaweza kufanya research Bei za kule na huku.
Huwezi kukosa kitu Cha kuuza

Mzee kuna tofaut ya Kua na bidhaa na Kua na wateja

Mtu kuuza 15 ujue tyr anae mteja wake ambae ww ukisema uuze iyo Bei zinadoda
 
Uzi mzuri sana kwa watu wanaotafuta fursa. Nilikuwa naulizia kama Nina agent China kwa ajili ya kusafirisha mzigo. Asante kwa kunijulisha kuhusu Silent Ocean
 
Uzi mzuri sana kwa watu wanaotafuta fursa. Nilikuwa naulizia kama Nina agent China kwa ajili ya kusafirisha mzigo. Asante kwa kunijulisha kuhusu Silent Ocean
kwan hawa magent ni kampun za hapa hapa tz au?
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread Yako. Unaeza agiza bidhaa yoyote kutoka china, na uturuki na kuuza bongo dar. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5 tangu kuagiza Kwako Kwa njia ya ndege na Kwa NJIA ya meli 30-45 siku.

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958 text/call

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
 
Habari,

Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk

Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
  1. Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
  2. Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
  3. Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
  4. Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
  5. Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
  6. Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
  7. Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
  8. Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
  9. Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
Hongeraa sana Vyema sana mkuu naomba tutawasiliana nimechukua no yako nipate somo la kuagiza mahitaj china
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread Yako. Unaeza agiza bidhaa yoyote kutoka china, na uturuki na kuuza bongo dar. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5 tangu kuagiza Kwako Kwa njia ya ndege na Kwa NJIA ya meli 30-45 siku.

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958 text/call

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
Nitawaamin vp nakukukabizi mizigo yangu
 
Back
Top Bottom