Anzisheni mahusiano na watu wazima, hawa wa chini ya miaka 35 hawana tofauti na vitoto

Anzisheni mahusiano na watu wazima, hawa wa chini ya miaka 35 hawana tofauti na vitoto

Anzisheni mahusiano na watu wazima, hawa wa chini ya miaka 35 hawana tofauti na vitoto, kutokana na kuwa na ahadi nyingi hewa.

Kwa upande wangu, mabinti walio chini ya miaka 35 mimi huwa nawaita vitoto; kwa sababu wana usumbufu fulani katika uanzishaji wa mahusiano.

Wengi wao wanatoa ahadi feki, unaweza ukamtumia nauli na asifike, au akajizungusha zungusha huku akiamini kuwa yeye ni mzuri, kwa hiyo lazima akutese.

Yaani mpaka mvutane sana, ndio atakuja kwenye 'appointment' yako. Atajiwekea mazingira 'expensive' ya kutokutaka kuoanana na wewe; mara atakwambia nipo kwenye mzunguko wa mwezi, mara nimetumwa na boss, mara sina nafasi nina majukumu fulani n.k, lengo ni kujiweka wa gharama wakati hana hizo gharama.

Kutokana na huo ujinga wao; mi huwa nawapiga chini, napambana na hawa watu wazima waliokomaa, kuanzia miaka 36+, siwezi kusumbuana na vitoto mimi.

Nawasilisha.
Mtoa mada anzisha group la mashangazi na utoe mwongozo

Jaman ana HOJA asikilizwe tu
 
Naunga mkono Hoka Kwa sasa nimeshaacha kbs kuhangaishana na vitoto vidogo vinavyosumbua muda wore ninao mshangazi wangu Tena ni plaster najilia vitu bila usumbufu
 
Struggle ya mapenzi is real[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naunga mkono Hoka Kwa sasa nimeshaacha kbs kuhangaishana na vitoto vidogo vinavyosumbua muda wore ninao mshangazi wangu Tena ni plaster najilia vitu bila usumbufu
Kuhangaika na vitoto ni shida
 
Struggle ya mapenzi is real[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanaboresha akili na wakati mwingine yanawafanya watu kuwa wehu
 
35 parefu sana master, si kweli kwamba wasichana chini miaka 35 wanaishi au hawana tofauti na watoto. Kitu naweza kusema, wanawake wanatofautiana sana. Kuna wengine just at 25 bado yuko drmatic, kununa ovyo ovyo na utoto mwingi. Ila kuna wanawake kwenye age hiyo hiyo mpaka raha. Very understanding na mambo ya Kutaka ku control mambo hawako nayo.

I consider dating a girl above 25 is healthier mentally and Physically.
 
Back
Top Bottom