Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapendo yangu ya dhati kwao pia, huwa hawana baya na mtu..!!
Tukana uone
sio shara out ni shout out 🤣Shara Out h
sio shara out ni shout out 🤣
heri ya mwaka mpya mkuu🤣🤣
Wananyumba za urithi,sisi wabeba zege muda wa likes uko wap
Mimi Rararee namkubari sanaSalamu nimeamua kumwachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Nyamuswa,mimi ni mwendo wa ukauzu tu!
Leo kwa moyo mkunjufu kabisa naomba niwape Shara auti hawa watu!
1. raraa reree
2. min -me
3. Leejay49
Hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kutoa "LIKES" nyingi kwenye nyuzi za members humu JF,sidhani kama kuna member ambaye hana LIKES kutoka kwa hawa watu!.
HESHIMA KWENU
Mimi binafsi nawakubali sana na ninathamini mchango wenu wa LIKES kwenye nyuzi zangu!
Pamoja sana!
Naunga mkono hoja..Salamu nimeamua kumwachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Nyamuswa,mimi ni mwendo wa ukauzu tu!
Leo kwa moyo mkunjufu kabisa naomba niwape Shara auti hawa watu!
1. raraa reree
2. min -me
3. Leejay49
Hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kutoa "LIKES" nyingi kwenye nyuzi za members humu JF,sidhani kama kuna member ambaye hana LIKES kutoka kwa hawa watu!.
HESHIMA KWENU
Mimi binafsi nawakubali sana na ninathamini mchango wenu wa LIKES kwenye nyuzi zangu!
Pamoja sana!
Basi ududuSalamu nimeamua kumwachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Nyamuswa,mimi ni mwendo wa ukauzu tu!
Leo kwa moyo mkunjufu kabisa naomba niwape Shara auti hawa watu!
1. raraa reree
2. min -me
3. Leejay49
Hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kutoa "LIKES" nyingi kwenye nyuzi za members humu JF,sidhani kama kuna member ambaye hana LIKES kutoka kwa hawa watu!.
HESHIMA KWENU
Mimi binafsi nawakubali sana na ninathamini mchango wenu wa LIKES kwenye nyuzi zangu!
Pamoja sana!
Hahaha 😂😂😂.. kumbe Kunakuaga na ugomvi serious na hamsemi 😃Nikiwa nagombana na mtu wachague upande wa kukaa siyo wanalike comment yangu na comment ya adui yangu niwaeleweje?
Sisi ni members wote, kasoro raraa reree yeye ni robot.. Au raraa reree unasemaje hapa😬😬😂😂Aliens hao