Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dr namugari mimi nilianzisha upi huo embu nioneshe 😄Kuna siku rare raree alianzisha Uzi nilicheka mno
Duh, hawa watu ni hatari hata ukiandika utumbo wenyewe wanalaiki tu! Hata hapa sasa vitalaiki! Huwa najiuliza sijui ni vi me au ke?Salamu nimeamua kumwachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Nyamuswa,mimi ni mwendo wa ukauzu tu!
Leo kwa moyo mkunjufu kabisa naomba niwape Shara auti hawa watu!
1. raraa reree
2. min -me
3. Leejay49
Hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kutoa "LIKES" nyingi kwenye nyuzi za members humu JF,sidhani kama kuna member ambaye hana LIKES kutoka kwa hawa watu!.
HESHIMA KWENU
Mimi binafsi nawakubali sana na ninathamini mchango wenu wa LIKES kwenye nyuzi zangu!
Pamoja sana!
Kumbe mwamba raraa reree ni Dotto magari?Wananyumba za urithi,sisi wabeba zege muda wa likes uko wap
Niseme nn tena Leejay49 😄Ngoja aje aseme mwenyewe.. raraa reree
[emoji1787][emoji1787]Kwamba unajua kabisa umeandika pumba ila unapewa likeraraa reree unaweza kuta notification 10 za likes ukajua Ulikuwa unaongea point ukiangalia ni yeye.
Hana baya uongee pumba vyovyote vile lazima akumwagie makopa.
Tatizo Extrovert siku hizi amepunguza likes sio kama zamani halafu na yeye ameingia katika mkumbo wa kuwa critique kwenye comments zake ila.yeye pia ana staili kuwemo kwenye list.
Nimemuomba jamaa aniletee huo uzi 😄Kwamba wewe ni robot 😃.. halafu nasikia uliwahi kuandika uzi, em enda unitag nione uliandika Nini 😬😅
Mi pia sijasoma ulicho andika lakini nimekupa likeHivi ni mimi tu ambaye sitaki like zisizo na maana? Mimi huwa natoa like nikipenda nilichosoma ila kuna watu huwa nahisi wanatoa tu like bila hata kusoma kilichoandikwa.
Kwamba mimi ni chris brown mtaani kwenu 😄raraa reree mtaani kwetu ni celebrity kabisa kwa sababu ya likes tu anazo toa JF
Anyways kwa ufupi hawa jamaa wanaonekana ni watu wanaoishi maisha yenye furaha sana..
Sijaelewa mkuu kwamba raraa reree ni robot?🤣🤣🤣Nimemuomba jamaa aniletee huo uzi 😄