App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Mimi sijapenda hii version mpya. Ilitakiwa kuwa JF na lite app. Mtumiaji angejipima atumie ipi. Mimi bado natumia old version.
 
App halina notifications linaboa [emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
 
Hivi Jf founders mnashindwa kabisa kutuletea app yenye haka ka muonekano potabo?

IMG_20221009_073517.jpg
IMG_20221009_073628.jpg
IMG_20221009_074142.jpg


Hivi hiki ni nini? Yani na Android 11/12/13 zetu bado tunatumia app yenye muonekano na feelings za Android 4?

Hili li muonekano gani?
IMG_20221009_080942.jpg


Ukifungua thread sasa[emoji35][emoji35]
IMG_20221009_081001.jpg
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Binafsi natumia iphone,sasa juzi hapa mods wametoa ufafanuzi jinsi ya ku instill app mpya ya jf ili kuweza kupata notifications.

Sasa akatoa namna ya kuingia browser ili kuipakua upya,mimi kwenye iphone hii browser haipo kuna 'safari'ukiingia safari hii app ya JF ipo ila ukiipakua unakuja kamaa hii hii niliofuta ili nipate mpya ninayotaka.

Nimejaribu kudownglord browser ila browser zinazokuja nimeahindwa tambua ni ipi itakayonipa nachotaka,nimejaribu ku log in kwa kutumia safari ili niipakue hii app mpya ila ile vidoti 3 mod alivyosema ukiviona unai instill havipo kabisa[emoji31][emoji31]

Msaada nifanyeje?
 
Binafsi natumia iphone,sasa juzi hapa mods wametoa ufafanuzi jinsi ya ku instill app mpya ya jf ili kuweza kupata notifications.

Sasa akatoa namna ya kuingia browser ili kuipakua upya,mimi kwenye iphone hii browser haipo kuna 'safari'ukiingia safari hii app ya JF ipo ila ukiipakua unakuja kamaa hii hii niliofuta ili nipate mpya ninayotaka.

Nimejaribu kudownglord browser ila browser zinazokuja nimeahindwa tambua ni ipi itakayonipa nachotaka,nimejaribu ku log in kwa kutumia safari ili niipakue hii app mpya ila ile vidoti 3 mod alivyosema ukiviona unai instill havipo kabisa[emoji31][emoji31]

Msaada nifanyeje?
Ufafanuzi wameutolea wapi?
 
Binafsi natumia iphone,sasa juzi hapa mods wametoa ufafanuzi jinsi ya ku instill app mpya ya jf ili kuweza kupata notifications.

Sasa akatoa namna ya kuingia browser ili kuipakua upya,mimi kwenye iphone hii browser haipo kuna 'safari'ukiingia safari hii app ya JF ipo ila ukiipakua unakuja kamaa hii hii niliofuta ili nipate mpya ninayotaka.

Nimejaribu kudownglord browser ila browser zinazokuja nimeahindwa tambua ni ipi itakayonipa nachotaka,nimejaribu ku log in kwa kutumia safari ili niipakue hii app mpya ila ile vidoti 3 mod alivyosema ukiviona unai instill havipo kabisa[emoji31][emoji31]

Msaada nifanyeje?
Badilisha simu
 
Natumia IPhone nimejaribu kufuata taratibu zote zilizoelezwa ila sasa mbona sijaona navigation key ya back
 
Kwa mfano hapa nikitaka kurudi back ku view mada nyingine nafanyaje
IMG_2849.png
 
Kama wanatusoma hapa, basi waboreshe hii app ya zamani. App ya sasahaina mvuto hata kidogo
 
Back
Top Bottom