App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Alafu upande wa DM muongeze kitufe cha kubonyeza Ili kuhariri andiko la mtu endapo kama Kuna makosa ya kiuandishi.
Mmeweka kitufe Cha ku-Quote tu
 
Kama mimi bwashee

giphy.gif
 
Katika app za kiboya hapo bongo ni Jf na App ya Wema sepetu.Kitu kidogo kama Notifications kimewashinda ndo wataweza hayo makubwa?
 
Katika app za kiboya hapo bongo ni Jf na App ya Wema sepetu.Kitu kidogo kama Notifications kimewashinda ndo wataweza hayo makubwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
App mpya ni mbaya sana, mambo ya kubonyeza Next page hapana aiseee
 
Katika app za kiboya hapo bongo ni Jf na App ya Wema sepetu.Kitu kidogo kama Notifications kimewashinda ndo wataweza hayo makubwa?

JF chrome plug in mbona ipo vizuri tu...unakuwa kama unabrowse kwenye browser hivi
 
Hiyo ya katikati

Sasa mpendwa hii ni outdated na watu wote wanaolalamika huwa wanaitumia hii, chexk hapo JF wenyewe walishaachana kudevelop hiyo app tangu Nov 2020...

Kuna plugin (app) mpya ambayo ipo kama browser tu, logo yake ni hiyo ipo upande wa kulia...

Jaribu kufuatisha maelekezo ya Maxence Melo hatua kwa hatua, upate updated app na usisumbuke tena...
 
Sisi hiyo mpya hatuitaki ,
Tunataka watutengenezee hii maana si wote ni wapenzi wa jf browser..Wengine tushazoea JF App.
Walikuwa wanai update sana tu ila sasahivi wameamua tupambane na hali zetu.
Kama vipi waifute kabisa tujue Moja kuwa sisi wa JF App hatutakiwi.
Sasa mpendwa hii ni outdated na watu wote wanaolalamika huwa wanaitumia hii, chexk hapo JF wenyewe walishaachana kudevelop hiyo app tangu Nov 2020...

Kuna plugin (app) mpya ambayo ipo kama browser tu, logo yake ni hiyo ipo upande wa kulia...

Jaribu kufuatisha maelekezo ya Maxence Melo hatua kwa hatua, upate updated app na usisumbuke tena...
 
Sisi hiyo mpya hatuitaki ,
Tunataka watutengenezee hii maana si wote ni wapenzi wa jf browser..Wengine tushazoea JF App.
Walikuwa wanai update sana tu ila sasahivi wameamua tupambane na hali zetu.
Kama vipi waifute kabisa tujue Moja kuwa sisi wa JF App hatutakiwi.

Punguza munkari dada mzuri...

Mpya inafunguka kama app tu, unafanya vitu vyote unavyoweza kufanya JF...

Fanya kujaribu kuitumia kwanza...

Screenshot_20221031-190511.png
 
Bora uwe na App ya porn utapata notification kuliko hizo mpya sijuwi wanaziita Puttin asa ndo nini.
 
Back
Top Bottom