App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Bora uwe na App ya porn utapata notification kuliko hizo mpya sijuwi wanaziita Puttin asa ndo nini.
Kama vipi hii jf App tuliyonayo waifute tu
Kuliko kutunyanyasa kwa kutuwekea notifications za miezi na miezi,zimeganda tu.
 
Habari guys juz nilikua naupdate ios ili sm yang iwe na IOS 16 storage ikawa ndogo nikafuta jamii forum sasa leo na download naambiwa haipo nchini kwang means hii app imezuiwa kutumika Tanzania alie experience hii issue aniambie pia
2D92F9FB-F7A3-42FB-86E8-CE5218D6E1BA.png
 
Habari guys juz nilikua naupdate ios ili sm yang iwe na IOS 16 storage ikawa ndogo nikafuta jamii forum sasa leo na download naambiwa haipo nchini kwang means hii app imezuiwa kutumika Tanzania alie experience hii issue aniambie pia
View attachment 2424065
Hata mimi nimekutana na hili swala jf app haipatikani app store...sijui Maxence Melo ana mpango gani? Kwakweli mimi si mpenzi wa browser kabisa...na ni vizuri jf wawe na application ni vigumu kuwambia watu jf ilipofikia hakuna application ya ios ...hili ni jambo la aibu ni bora kuicha hata ile ya zamani kuliko kuiondoa kabisa!

Maxence Melo kwanini mnaturudisha nyuma? Kwanini mnataka kutuaminisha apolication siyo muhimu wakati ni muhimu?

Jf inatangazika zaidi na watu inakuwa kwao ni rahisi zaidi kama kuna application kwenye android na ios
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Hongera sana pia pole Kwa majukumu mm nikijaribu hainyeshi au niifute nipakue upya asante
 
Wahusika tafadhali tuelezeni ni kitu gani kimesababisha mkaiondoa app store, kama ni maboresho ingefaa mkaicha iliyokuwepo kisha mngetoa toleo jipya ambalo tungeupdate tu.
0470A8A7-1B19-46F9-9A25-042E47877E96.jpeg
 
Wahusika tafadhali tuelezeni ni kitu gani kimesababisha mkaiondoa app store, kama ni maboresho ingefaa mkaicha iliyokuwepo kisha mngetoa toleo jipya ambalo tungeupdate tu.
Hiyo itakuwa ile fake Bora wameitoa ilituchanganya sana

USSR
 
Habari wakuu natumaini wazima kabisa,

Wiki ilioisha nilibadilisha simu so kudownload app yangu pendwa jamii forums nakuta app store haipo kiufupi mpaka nikachanganyikiwa ikabidi nirudi walipo niuzia simu nilijua labda hili toleo la simu halipokei jamii forums so nikawa mkali wakajalibu kuingia app store kupitia simu zao nawao hawakukuta jamii forums nikabaki kushangaa.

Tatizo nini sasa mbona kwenye websites ipo tena vizuri tuu?
 
Back
Top Bottom