Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha app mpya hapo ni kwamba ,kama mlikuwa hamjui chrome, firefox na browsers jamii hizo zina option ya ku add page kuwa shortcut so walichokifanya hapo ni kuongeza option ya ku add shortcut simple no additional options bali ni shortcuts .Kuna zile uzi tumesubscribe mbona kwenye hii maboresho sioni kipengele cha subscribed?
Na kwa sababu Mungu ana akili sadaka yako ilipokelewa,Jiwe hakuwa mtu kabisa,sijui kama angekuwa hai mpaka 2025 nini kingetokeaYaani!,nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru muumba kwa kutuondolea uchafu!
Nami natumia google chrome kwenye PC lakini option ya kuinstall haipoSijasema utumie Opera Mini.
Narudia: Google Chrome please
Unatumia wapi Freebasic App au kupitia Browser mbona mimi halotel haileti JF yaani haipo
Mungu akuongoze katika ubunifu wako Maxence Melo MubyaziNaam wakuu,
Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.
Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).
FAIDA:
1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa
2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako
3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni
4) na mengine mengi
Hatua za kufuata:
Kwa wanaotumia PC:
Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:
View attachment 1791283
View attachment 1791292
Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:
View attachment 1791284
Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.
Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:
View attachment 1791290
Kwa wanaotumia Android Devices:
Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):
Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:
View attachment 1791285
View attachment 1791286
Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)
View attachment 1791287
Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:
Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.
View attachment 1791288
View attachment 1791289
Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.
TAKE NOTE: Siku zijazo tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores!
PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.
Karibuni
NimefanikiwaNatumia Chrome kwa laini ya Halotel ndiyo inafunga vizuri.
Hapana fuata maelekezo vizuri hapo kiongozi amehainisha kila aina ya chombo unachokitumia,,wewe ingia kwenye chrome alafu andika jamiiforum.com utafanikiWasisi wadau wa android tumetupiliwa mbali na mabadiliko haya!
Yani ovyo kabisa, tena anasema ataondoa App ya kawaida na kubakisha hilo lo shortcut,.Hii siyo application,bali ni Shortcut.
Jamii forums ndo mmeishiwa mbinu kiasi hicho??
Mbona me nimelog in ila bado sioni option ya ku install?Kuongeza,hii ni kwa sisi android usersl!!!
Kwenye browser lazima u-log in kwanza ili uweze kuona option ya ku-downloud hii app. hii ni changamoto nimekutana nayo ila ndogo sana ukiwa mtu wa kujiongeza.
Yani hampendi shortcut wakati mm nimeielewa sanaaaa kwanza iko shap kinomaYani ovyo kabisa, tena anasema ataondoa App ya kawaida na kubakisha hilo lo shortcut,.
Kwani App haiko SharpYani hampendi shortcut wakati mm nimeielewa sanaaaa kwanza iko shap kinoma