Kuna zile uzi tumesubscribe mbona kwenye hii maboresho sioni kipengele cha subscribed?
Hakuna cha app mpya hapo ni kwamba ,kama mlikuwa hamjui chrome, firefox na browsers jamii hizo zina option ya ku add page kuwa shortcut so walichokifanya hapo ni kuongeza option ya ku add shortcut simple no additional options bali ni shortcuts .
 
Mungu akuongoze katika ubunifu wako Maxence Melo Mubyazi
 
Kuongeza,hii ni kwa sisi android usersl!!!

Kwenye browser lazima u-log in kwanza ili uweze kuona option ya ku-downloud hii app. hii ni changamoto nimekutana nayo ila ndogo sana ukiwa mtu wa kujiongeza.
Mbona me nimelog in ila bado sioni option ya ku install?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…