Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
unachanganya madesa mzee! kudownload fomu ya ku appeal ipi?Umefanikiwa ku download fomu ya appeal?
Mimi kila nikijaribu ku download inaniandikia download failed.
Au barua ya appeal unaandika tu mwenyewe then unaipeleka serikali ya mtaa kwa ajili ya utambulisho na muhuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu ya kudownload form usaini.unachanganya madesa mzee! kudownload fomu ya ku appeal ipi?
Wewe ume download fomu ya appeal hapo kwenye appeal?Tunahitaji kuattach barua?Mimi sijaelewa please msaada
Wewe ume download fomu ya appeal hapo kwenye appeal?Tunahitaji kuattach barua?Mimi sijaelewa please msaada
Hakuna form ya kudownload bn information unajaza mulemuleWewe ume download fomu ya appeal hapo kwenye appeal?
Ni document ipi inatakiwa iwe attached?
Sent using Jamii Forums mobile app
HawajaelekezaWewe ume download fomu ya appeal hapo kwenye appeal?
Ni document ipi inatakiwa iwe attached?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni changamoto tu ya mtandao itakaa sawaWadau kwa wale wanao appeal loan, pale kwenye kipengele kinacho husu udhamini wa TASAF, pale mimi niki weka namba ya kitambulisho cha TASAF haikubali msaada plz,
Bado sijakamilisha mkuu maana uyu dogo ni continuous hivyo nasubiri kesho iyo tarehe 10Umefanikiwa ku download fomu ya appeal?
Mimi kila nikijaribu ku download inaniandikia download failed.
Au barua ya appeal unaandika tu mwenyewe then unaipeleka serikali ya mtaa kwa ajili ya utambulisho na muhuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu yeyote atakayefanikiwa ku download fomu ya appeal atume humu maana mimi kila niki download inaniandikia download failed.Hawajaelekeza
Sorry Kwan continuous ambao hatujapata mkopo tunaruhusiwa kukata rufaa ama kuna bench yetu itatokaBado sijakamilisha mkuu maana uyu dogo ni continuous hivyo nasubiri kesho iyo tarehe 10
Sorry Kwan continuous ambao hatujapata mkopo tunaruhusiwa kukata rufaa ama kuna bench yetu itatokaBado sijakamilisha mkuu maana uyu dogo ni continuous hivyo nasubiri kesho iyo tarehe 10
Leo Ijumaa ndo awamu ya continueos.Sorry Kwan continuous ambao hatujapata mkopo tunaruhusiwa kukata rufaa ama kuna bench yetu itatoka
Kwa mujibu wao continuous mtapangiwa kuanzia leoSorry Kwan continuous ambao hatujapata mkopo tunaruhusiwa kukata rufaa ama kuna bench yetu itatoka
Hivi kutakuwa dirisha la appeal la continuousKwa mujibu wao continuous mtapangiwa kuanzia leo
Sw asanten jamn
Hivi apart from kifo cha mzazi, previous TASAF support pale walipoweka sababu nyinginezo zinaweza kuwa sababu zipi zinazoweza ku-justify kupewa mkopo? Mimi ninampambania mtu wangu wa karibu ambaye wazazi wake wametalikiana mwaka huu na sasa wazazi wake wanatupiana mpira wa kumlipia ada. Will the attachment of divorce certificate and some explanation suffice to show that the applicant really needs financial support from the Board? Ufafanuzi hapo wadau.