Oraimo wapo vizuri sana, ninazo ear phone zao.Mkuu,
Hii comment usiidharau. Ila endapo hizo zitaharibika nakushauri ujaribu na earpods za Oraimo.
Tafuta original kabisa na uzi utakaofuata itakuwa ni kuzisifia kwa viwango kuliko hizo za Apple.
HahahaNiliuliza earpods za apple Muzzamil znz nikaambiwa laki 6...nilichoka
Vidude vidogo vile si dakika tu naweza kukapoteza kimoja halafu nianze Julia kilio cha mbwwa [emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna jamaa yangu mmoja yupo South nikasema nimuagize yaweza kule ikaniwia rahisi akaniambia Angel bora hata nikutumie pesa ununue hukohuko kule bei zimemshinda.
Alinitumia lake tano, ila zilinisaidia kwenye kuwanunulia wtt school accessories, earpod sijui ear bugs zitasubiri [emoji2957]
Kama umechukua kwa 10k basi hiyo ni first copyHii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
Watu wanazinunua muhimu ni ubora tu.Sio mchina..
Kuna mtu namjua anayo ya laki 3.
Ni moto [emoji23][emoji23]
Hiyo mia 7 si tutasahau kula.. tuwe tunakula mziki
Hahahahaaa.Niache kununua home theatre au soundbar ninunue earphones laki 7. Labda kama baba yangu angekuwa fisadi wa over invoicing. [emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa earpods ni ghali sanaSio laki tu. Hizo zenyewe za laki bado ni mchina flani π€£π€£
Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
Sikia jamaa yangu, kuna zile wireless earphones kampuni ya Excellent binafsi hazijaniangusha, muziki mnene, charge inakaa week+, tafadhali jaribu alafu njoo unikabe!.Mmh sawa sawa mkuu, kariakoo kubwa
Wenye Tecno na Infinix tukae palee
Oraimo earpods hata laki hazifiki. Nishatumia 3, 4 imetoka majuzi sijaipata na nimetumia yale makubwa ndio sijayapenda kabisa.Mkuu,
Hii comment usiidharau. Ila endapo hizo zitaharibika nakushauri ujaribu na earpods za Oraimo.
Tafuta original kabisa na uzi utakaofuata itakuwa ni kuzisifia kwa viwango kuliko hizo za Apple.
Yeye kaongelea za KKOOKama umechukua kwa 10k basi hiyo ni first copy
Earpods ni gharama sana especialy hizo za apple,
Akg nc400 bei ya sokoni bila kodi ni wastani wa dola 90.
Mkuu stereo ni kuchagua sauti eidha itoke kwenye Spika kwa kupokezana kwa maudhui tofautiInner ear Bass yake ni nzuri iko balanced na stereo. Mdundo mkubw na mchicha mwingi sema mi huwa sipendagi stereo huwa naiedit kidogo.
Zile generation ya kwanza zenye tobo ndio sizipendagi.
Kwa mujibu wa maelezo ya wadau waliotangulia hizi zake ni 5th copy kabisaa.Kama umechukua kwa 10k basi hiyo ni first copy
Earpods ni gharama sana especialy hizo za apple,
Akg nc400 bei ya sokoni bila kodi ni wastani wa dola 90.
Umefafanua vyema sana.Mkuu stereo ni kuchagua sauti eidha itoke kwenye Spika kwa kupokezana kwa maudhui tofauti
Mfn spika zipo kushoto na kulia basi ukiweka stereo kam hiyo audio inasuporty STREO MODE
utapata ladha ya ile surround sikio moja anaimba msanii sikio jingine unasikia beat
AU Hata movie ipo hvyhvyo pia unaweza kusikia wanajibishana huyo anaongea kwa spika ya left huyu spika ya right kama mapigano kinavunjika kitu kioo nk unasikia kinavunjika kwenye spika ya kushoto kulia unasikia sauti nyingine
Mono sauti zinatoka pamoja kwenye spika zote kwa pamoja haina LEFT RIGHT
OKAY
STREO haiusiani na TREBLE mid au BASS
Hvyo wewe unaEDIT graphics equalizer
ili kupata BASS nzuri ambayo haina TREBLE
TREBLE ni HIGH PINCH ama unaweza sema HIGH FREQUENCY ambayo inaanzia kwenye 6khz mpk 20khz
Hvyo wewe haupend TREBLE iwe juu unapunguza kidogo mpk kwenye 10khz au 12khz hivi Ili kupata balance nzuri kwenye BASS
View attachment 2613436
Mkuu mzimu naona umeongea kiproffesional hapa, tunashukuru kwa highlight.Mkuu stereo ni kuchagua sauti eidha itoke kwenye Spika kwa kupokezana kwa maudhui tofauti
Mfn spika zipo kushoto na kulia basi ukiweka stereo kam hiyo audio inasuporty STREO MODE
utapata ladha ya ile surround sikio moja anaimba msanii sikio jingine unasikia beat
AU Hata movie ipo hvyhvyo pia unaweza kusikia wanajibishana huyo anaongea kwa spika ya left huyu spika ya right kama mapigano kinavunjika kitu kioo nk unasikia kinavunjika kwenye spika ya kushoto kulia unasikia sauti nyingine
Mono sauti zinatoka pamoja kwenye spika zote kwa pamoja haina LEFT RIGHT
OKAY
STREO haiusiani na TREBLE mid au BASS
Hvyo wewe unaEDIT graphics equalizer
ili kupata BASS nzuri ambayo haina TREBLE
TREBLE ni HIGH PINCH ama unaweza sema HIGH FREQUENCY ambayo inaanzia kwenye 6khz mpk 20khz
Hvyo wewe haupend TREBLE iwe juu unapunguza kidogo mpk kwenye 10khz au 12khz hivi Ili kupata balance nzuri kwenye BASS
View attachment 2613436
Nashukuru mkuu, sikutaka kutumia kiingereza cha ndani ndani sana. Nayaelewa vizuri uliyoandika.Mkuu stereo ni kuchagua sauti eidha itoke kwenye Spika kwa kupokezana kwa maudhui tofauti
Mfn spika zipo kushoto na kulia basi ukiweka stereo kam hiyo audio inasuporty STREO MODE
utapata ladha ya ile surround sikio moja anaimba msanii sikio jingine unasikia beat
AU Hata movie ipo hvyhvyo pia unaweza kusikia wanajibishana huyo anaongea kwa spika ya left huyu spika ya right kama mapigano kinavunjika kitu kioo nk unasikia kinavunjika kwenye spika ya kushoto kulia unasikia sauti nyingine
Mono sauti zinatoka pamoja kwenye spika zote kwa pamoja haina LEFT RIGHT
OKAY
STREO haiusiani na TREBLE mid au BASS
Hvyo wewe unaEDIT graphics equalizer
ili kupata BASS nzuri ambayo haina TREBLE
TREBLE ni HIGH PINCH ama unaweza sema HIGH FREQUENCY ambayo inaanzia kwenye 6khz mpk 20khz
Hvyo wewe haupend TREBLE iwe juu unapunguza kidogo mpk kwenye 10khz au 12khz hivi Ili kupata balance nzuri kwenye BASS
View attachment 2613436
Kwa mujibu wa maelezo ya wadau waliotangulia hizi zake ni 5th copy kabisaa.
Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.