Imani yangu na huo mpira imepungua sana kama unavyojua mpira ulikuwa kwingine labda umewekewa mawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera basi maana naona mpira umerudi kwako.
Naomba mpe pole Muuza maua
Dah![emoji134][emoji134]Imani yangu na huo mpira imepungua sana kama unavyojua mpira ulikuwa kwingine labda umewekewa mawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#marangapi
[emoji2089][emoji2089]
Yah! Naona mazoea huwa yanatawala zaidi hapa maana unakuta mtu analalamika hapati notifications miezi miwili ila bado yupo tu na App yake 😀Aisee app ni nzuri sana kwangu. Notification ndio haziji kama zamani ila nikifungua sehemu ya notification naona ingawa zinakuja quotes tu kama nimemensheniwa sipati [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nadhani wepesi au ugumu unategemea wakati unajiunga ulianza na nini
Mimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa activeYah! Naona mazoea huwa yanatawala zaidi hapa maana unakuta mtu analalamika hapati notifications miezi miwili ila bado yupo tu na App yake [emoji3]
Kw mujibu wa max app itakuwa poa sana 1may watakapoachia update kwa sasa tutumie browserChangamoto kubwa kwenye Application ni kuchelewa kwa notification unakuta nmemtukana mtu lakini sioni kajibu nini ili tugombane vuzuri .
Alafu ni kweli tunaotumia app wengi age imesonga kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mara nyingi tukikutag unakuwa huna habari kumbe umekomaa na App yako, shauri yako mambo mazuri yanakupita 😀Mimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa active
Mimi natumia "Browser" sababu wake zangu hawapendi kabisa niwe katika hii mitandao ya kijamii zaidi ya "WhatsApp".Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...
COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Bas ngoja niifute kabisa nisubiri kitu piruKw mujibu wa max app itakuwa poa sana 1may watakapoachia update kwa sasa tutumie browser
SweeettieMimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa active
Hivi unao wangapi sasahivi?Mimi natumia "Browser" sababu wake zangu hawapendi kabisa niwe katika hii mitandao ya kijamii zaidi ya "WhatsApp".
Ahsante.