SOFTWARE Application ya Katuni kwa Watoto Kujifunzia

Je ni sawa watoto wadogo (chini ya miaka 5) kutumia simu janja na mtandao?

  • Ndiyo ni Sahihi

    Votes: 12 21.1%
  • Si sahihi

    Votes: 31 54.4%
  • Inategemea, mambo yote yana uzuri na ubaya wake

    Votes: 14 24.6%

  • Total voters
    57
Simu , tv si nzuri kwa watoto kwa sababu hazina program mtiririko. Tv ni Mwalimu asiye na syllabus. Yaani ufundisha mtoto chochote tu bila mpangilio
Tatizo mtoto hajifunzi,yeye anachukua kila kitu anachokiona na kukisikia na kuhifadhi katika akili yake then baadae hivyo alivyovihifadhi ataanza kuvitumia pale atakapokuwa ameanza kuwa na uwezo wa kufanya mambo hayo.
 
Tatizo mtoto hajifunzi,yeye anachukua kila kitu anachokiona na kukisikia na kuhifadhi katika akili yake then baadae hivyo alivyovihifadhi ataanza kuvitumia pale atakapokuwa ameanza kuwa na uwezo wa kufanya mambo hayo.
Ndio kabisa. Mtoto anahitaji miongozo thabiti kutoka kwa wazazi na walezi kwa kuwa yeye hajui bado kipi ni kizuri au kipi hakina manufaa kwake.
 
Mtoto wangu ameanza kujua 1 hadi 100 akiwa na miaka 3 kupitia simu ....mtoto hawezi kuingia sehemu sio sahihi kama hujamwonyesha
 
Mtoto wangu ameanza kujua 1 hadi 100 akiwa na miaka 3 kupitia simu ....mtoto hawezi kuingia sehemu sio sahihi kama hujamwonyesha
Ni sahihi. Mzazi lazima amsimamie mtoto wake mtandaoni. Lakini kuna hatari nyingine ya mtoto kutumia simu na mitandao bila mpangilio, ikiwemo kutokuwa na nidhamu au kukosa umakini kwa vitu vinavyohitaji umakini mkubwa hasa huko mbeleni.
 
Kufananisha simu na kalamu si sahihi. Hata kalamu ina umri wake wakuanza matumizi.
Endelea kumpa mwanao makaratasi na pen tu uone jinsi atakvyoachwa,
Dunia ya sasa ni mitandao kwenda mbele,
Wa kwangu alipozaliwa tu siku ya kwanza tu nilimshikisha simu
Saaa hivi ana miaka tano anacheza na kompyuta kama hana akili vizuri
 
Endelea kumpa mwanao makaratasi na pen tu uone jinsi atakvyoachwa,
Dunia ya sasa ni mitandao kwenda mbele,
Wa kwangu alipozaliwa tu siku ya kwanza tu nilimshikisha simu
Saaa hivi ana miaka tano anacheza na kompyuta kama hana akili vizuri
Hongera yake. Je imemsaidiaje mpaka sasa mbali na kuweza kutumia kompyuta?
 
Hongera yake. Je imemsaidiaje mpaka sasa mbali na kuweza kutumia kompyuta?
Atafanya mengi ambayo wa makaratasi yatawashinda,
Juzi juzj tu pale airport nilutakiwa kujaza form flani online kupitia kwenye simu tu nilishindwa mie najua kupokea na kupiga tu ikizidi kutuma whatsapp, baadae ikibidi nilipie 20,000 kujaziwa na mtu internet cafe
Kitendo cha dakika mbili
 
Inategemea

Mtoto kuharibika ni juhudi zake binafsi


Mbona watu tumekulia Manzese mzazi mlevi wa gongo simu unamiliki uko lasaba

Na tumeenda mpka university
 
Atafanya mengi ambayo wa makaratasi yatawashinda,
Juzi juzj tu pale airport nilutakiwa kujaza form flani online kupitia kwenye simu tu nilishindwa mie najua kupokea na kupiga tu ikizidi kutuma whatsapp, baadae ikibidi nilipie 20,000 kujaziwa na mtu internet cafe
Kitendo cha dakika mbili
Kwahiyo mtoto wako anajua kufanya yote hayo?
 
Inategemea

Mtoto kuharibika ni juhudi zake binafsi


Mbona watu tumekulia Manzese mzazi mlevi wa gongo simu unamiliki uko lasaba

Na tumeenda mpka university
Haya ni maneno ya wazazi wasiotaka kulea watoto wao. Mtoto umleyavyo ndivyo akuavyo.
 
Tuendelee kupiga kura na kushiriki kwenye mjadala, tupate namna nzuri ya malezi kwa watoto wetu.
 
Tumeongeza katuni mpya. Pakua au update app ya Tuni h a p a
Untitled222-01.jpeg
 
Safi sana,nilikua siijui hii, kijana wangu ana miaka miwili anapenda sana katuni, hii itamfaa
Ndio mkuu itamfaa sana. Watoto wanapenda vitu vyenye rangi za kuvutia na hii app itamsaidia aanze kujifunza kusoma kuandika na kuhesabu.
 
Back
Top Bottom