Approach ya Rais Samia ya Tume ya Kuchunguza Haki Jinai haitawaacha madhalimu salama

Approach ya Rais Samia ya Tume ya Kuchunguza Haki Jinai haitawaacha madhalimu salama

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Mama yetu ana akili kubwa ana safisha uozo kwa umakini mkubwa. Ushaidi utatolewa na udhalimu utawekwa wazi na madhalimu watatajwa na kujulikana.

Si muda mrefu tutajua mbivu na mbichi, tutawajua watesi wa watanzania na unafki wao utawekwa hadharani.

Mwenye Enzi Mungu ametuamulia ugomvi, ametuletea Raisi wa haki na anayetibu majeraha.

MUngu akutunze mama yetu.
 
Design watu wanaupiga kwenye dustbin huu uzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumeahtukia sifa za kimchongo
 
Hata wale walioshirikishwa na kuhusishwa kufanya jinai watajwe tu wajulikane
 
Wasalaam wana JF

Mama yetu ana akili kubwa ana safisha uozo kwa umakini mkubwa. Ushaidi utatolewa na udhalimu utawekwa wazi na madhalimu watatajwa na kujulikana.

Si muda mrefu tutajua mbivu na mbichi, tutawajua watesi wa watanzania na unafki wao utawekwa hadharani.

Mwenye Enzi Mungu ametuamulia ugomvi, ametuletea Raisi wa haki na anayetibu majeraha.

MUngu akutunze mama yetu.
Kweli kabisa mkuu.Mama Samia ana akili nyingi,Mwenyezi Mungu azidi kumjalia Hekima na Busara mama yetu.
 
Back
Top Bottom