Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale matangazo mara nyingi yanakuwa ya kupangwa, hali inakuwa si ya hatari kiasi kile. Waandishi wanaitwa wakati wamesha-secure eneo ya zile risasi unazizisikia inakuwa ni za kupigia picha tu, si mambapano ya kwelikweli. Lakini there are expectionsIt is supposed to be broadcasted all over the country na TBC1 ndio inakamata kwingi why hawarushi au ni kwa kuwa waandishi wa habari wanatakiwa wakae mbali? Mbona mareporters wa Ulaya huwa wanareport hata kwenye hatari?
Kwanini wajiuzuru??wewe unadhani ni nani wa kwanza kujiuzuru??kuna mu mmoja unamuogopa?
Collective Responsibility
kweli f-i-k-s-i-m-a-n, unajua priority za habari za kiataifa kati ya private v/s government owned media? au TBC ndo biashara yenu?
Hii ni kutokana na moto uliozuka katika Amari ya Jeshi la kujenga taifa.
Nasikitika kwa yaliyotokea, familia yangu imekimbilia Mkuranga, wanaogopa kurudi. Kwa wale waliokwenye tukio kukiwa na usalama njulishe nipate kuwashauri warudi. Mimi niko Mtwara sasa, JF ndio chanzo changu cha habari kwa sasa.
Hakuna anayeogopwa but.
Wakuu hao ndo wapo responsible kuona mambo kama hayo hayatokei
Huo ni uzembe wa uongozi so they have to be acoutable for
Rais amewaamini wanaweza kazi, but they let him down
Ajali tuu? au uzembe? Watu wanajisahau katika mambo makubwa na madhara yanatokea kisha sisi tunahalalisha kuwa ni ajali tuu!Nimeongea na jamaa yangu yuko jeshini ni accident tu sio makusudi.Nafikiri watu amourly walijisahau kudispose-off yaliyoisha mda wake.Inasikitisha wananchi wanaenda sehemu ambayo tayari kuna hatari.
Breaking News: Milipuko... Kwa walio Dar! Asante MwanajamiiOnePole sana TzPride yote yatakwisha salama cha kumshukuru MUNGU ni kuwa Familia yako imepona so far. Just stick to JF utahabarika when mambo ni shwari urudishe familia.
Disgusting!!!!!!!!!!!!!!https://jamii.app/JFUserGuide it nimerudi tena niko kwenye gorofa ya 12 ....nje watu kibao
milipuko iketokea Mbagala sasa nashangaa mjini tunaambiwa tuondoke
walinzi hawajui kama nimerudi my life will continue as normal ...ikifika usiku ntatazama Arsenal wanawafunga Man U