kwani magufuli siyo fisadi? zile billioni 262 zilikwenda wapi, mbona magufuli hjajibu mpaka leo?
Hahahahahaaaaaa! Umenikumbusha mitaa ya Manzese unapopigwa ulabu wa kienyeji. Baada ya aliyekuwa Mkuu w Mkoa wa wakati ule Said Kalembo kupaboresha, wakapaita Kalembo Bar. Hakika ni sehemu ambapo ukijichanganya utapata mambo mengi sana na utaexperience maisha ya watanzania wengi. Huwa naendaga mara moja moja kuongea na wnanchiHaya mkuu umekumbusha mitaa yangu, ruhuwiko,matalawe,mfaranyaki, manzese,majengo na kule ng'ambo kwa wayao bila kusahau mitaa Buhemba.
Hiyo picha nimetumiwa na mdau wangu ambaye anafanya kazi hapo Oysterbay Shopping Center. Nadhani ile hofu ya kumpiga Apson ndo ilifanya picha iyumbe. Kuhusu Jimmy, sina taarifa zake kwa vile simfahamu. Labda wasiliana na GENTAMYCINEMkuu Lizaboni simu yako uluweka uzuri na inaonekana ulikuwa na haraka kuchukua hio picha.
Vipi Jimmy alikuwepo au yupo busy na mambo mengine?
Hiyo picha nimetumiwa na mdau wangu ambaye anafanya kazi hapo Oysterbay Shopping Center. Nadhani ile hofu ya kumpiga Apson ndo ilifanya picha iyumbe. Kuhusu Jimmy, sina taarifa zake kwa vile simfahamu. Labda wasiliana na GENTAMYCINE
Mkuu Tetty, nimeripoti uhalisia. Na huu ndio mkakati unaoratibiwa na Apson Mwang'onda.
Mkuu, kwa CDM wanaofanya maamuzi ni wachache tu. kumbuka hapo awali Lowasa alishafanya mazungumzo na Mzee Mtei. Usishangae yakitokea
Ndio wapi? Mie sikujui huko. Labda unitajie maeneo ya mfaranyaki, Makambi, Mateka, Ruhuwiko, Msamala, Mwenge Mshindo, Mshangano na Matarawe. Huko unakotaja sikujui