Habari wadau
Nimekumbuka sana heka heka za bwawa la umeme la rufiji kujengwa.
Ili bwawa limejengwa kwa mbinde sana.
Mshindi wa tenda hiyo kampuni ya Arab contractor ilipitiq vitisho vingi sana kwamba haitapewa support yoyote na ikapigwa vikwazo na banks zilizokuwa zinam support mpaka bank ya dunia ikawapa vitisho.
sababu inajenga bwawa la umeme Tanzania kwenye sehemu ambayo wazungu wanadai ni world heritage site
Arab contractor wamepigwa viti nyingi sana . Ila pamoja na yote kazi wameifanya na wanakaribia kuimaliz
Mradi umekula hela nyingi sana ila mkandarasi mkuu anapaswa apewe pongezi
Kwa jinsi wa Africa tulivyo waoga na tunavyopenda rushwa. Sizani kama Kuna kampuni yeyote ya Africa yenye moyo mgumu kama Arab contractor..
Kukataa rushwa na vitisho vya mabeberu ni kazi ngumu sana kwa mu, Africa
Nimekumbuka sana heka heka za bwawa la umeme la rufiji kujengwa.
Ili bwawa limejengwa kwa mbinde sana.
Mshindi wa tenda hiyo kampuni ya Arab contractor ilipitiq vitisho vingi sana kwamba haitapewa support yoyote na ikapigwa vikwazo na banks zilizokuwa zinam support mpaka bank ya dunia ikawapa vitisho.
sababu inajenga bwawa la umeme Tanzania kwenye sehemu ambayo wazungu wanadai ni world heritage site
Arab contractor wamepigwa viti nyingi sana . Ila pamoja na yote kazi wameifanya na wanakaribia kuimaliz
Mradi umekula hela nyingi sana ila mkandarasi mkuu anapaswa apewe pongezi
Kwa jinsi wa Africa tulivyo waoga na tunavyopenda rushwa. Sizani kama Kuna kampuni yeyote ya Africa yenye moyo mgumu kama Arab contractor..
Kukataa rushwa na vitisho vya mabeberu ni kazi ngumu sana kwa mu, Africa