Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Mh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, sasa hilo bwawa linavyotumza maji, hao wanyama na mimea si inafaidi sasa?Habari wadau
Nimekumbuka sana heka heka za bwawa la umeme la rufiji kujengwa.
Ili bwawa limejengwa kwa mbinde sana.
Mshindi wa tenda hiyo kampuni ya Arab contractor ilipitiq vitisho vingi sana kwamba haitapewa support yoyote kutoka bank ya Dunia.sababu inajenga bwawa la umeme Tanzania kwenye sehemu ambayo wazungu wanadai ni heritage site
Arab contractor wamepigwa viti nyingi sana . Ila pamoja na yote kazi wameifanya na wanakaribia kuimaliz
Mradi umekula hela nyingi sana ila mkandarasi mkuu anapaswa apewe pongezi
Kwa jinsi wa Africa tulivyo waoga na tunavyopenda rushwa. Sizani kama Kuna kampuni yeyote ya Africa yenye moyo mgumu kama Arab contractor..
Kukataa rushwa na vitisho vya mabeberu ni kazi ngumu sana kwa mu, AfricaView attachment 3168298
Iliaanza hivi....Watu hawaelewi chochote, hiyo nyufa ilikuwepo kwenye bawa la bwawa ambapo hapana pressure kubwa ya maji, pale kati ndio kuna msukumo mkubwa, pale pakitokea ufa ni masaa tu, bwawa linaachia..
Hilo nakubaliMkandarasi hakuwa mbahili kwenye kulipa vibarua.
Sasa mimi nimeongea nini, huoni hilo gap lipo kati kwenye maximum pressure?Iliaanza hivi....
View attachment 3168412![]()
St. Francis Dam - Wikipedia
en.wikipedia.org
Wakati wanafikiria nini cha kufanya ndani ya masaa kadhaa, ikawa hivi.....
View attachment 3168413
View attachment 3168415
View attachment 3168414
Hiyo ni expansion joint!😁😁😄😄mbona wanasema bwawa lina ufa!
Wapo sasa wamenuna maana mradi uko vizuri! Ila Magufuli pamoja na roho yake mbaya lakini lilikuwa na maono!Ndio. Hii ni project ya pili kwa kula hela nyingi kuliko zote Tanzania
Itapitwa na SGR tu pale itakapokamilika reli yote.
Benk Ya dunia huwa inasaidia project za hela nyingi.. ila kwenye hii wazungu walikataa
Wapo sasa wamenuna maana mradi uko vizuri! Ila Magufuli pamoja na roho yake mbaya lakini lilikuwa na maono!
Ulitaka iwe America/ Europe contractor..? Kwasababu walikuwa malaika..?Arab contractor,hapo mtumwa umefurahi sana!
Azi imeanza ni wale wafuasi wa ji na j2 vifuani wameficha mengi hawawezi kujadili caption at hand lazma wadhalilishe mtu haya utajibiwa na mliojipanga na agenda zenuMradi aliobuni na kuufanya Saa100, ni upi? Labda nimesahau
Hapo wanaumia why asiwe yule muungu wao aliewakataa Israel najua atatokeza mmoja humu atasema hao waarabu ni waisraeli sio wamisr stay and tune sooner laterUlitaka iwe America/ Europe contractor..? Kwasababu walikuwa malaika..?
Utazibwa tu mbona simple sanambona wanasema bwawa lina ufa!
Ndiyo maana kaliagiza yule pingapinga ang'olewe kwa kuchapa risasi, ingawa haikuwa sawa, ila naye kuna wakati anazidi!Kuna wakati bila roho mbaya maono hayawezi kutimia, hakuna nchi imejengwa duniani bila viongozi/ kiongozi mkuu kuwa na roho mbaya.
Fikiria, una plan yakujenga daraja/shule mahala halafu kuna mafala hiyo hela wanaigawana na ujenzi haufanyiki au inafanyika chini ya kiwango.
Fikiria una plan yakujenga bwawa la kuzarisha umeme kwa manufaa ya Taifa lako, halafu ndani ya Taifa lako kuna watu wanapewa rushwa iliujenzi usifanyike na watu waendelee kulinyonya Taifa lako.
Fikiria maendeleo vijijini yanashindwa kufanyika halafu mjini Dar es salaam watu wanakwiba hela la hiyo miradi wanahonga vimada, wananunua magari, wanasomesha watoto Ulaya na kununua majumba SA na Dubai.
Fikiria watu unaowaongoza ni masikini, halafu watu kila siku wanajilipa posho za vikao na kuvifanyia kwenye mahoteli ya kifahari wenye connection nayo na wanalipa hela nyingi.
Fikiria watu unaowaongoza masikini, mashuleni hakuna vitabu, mahospitali hayana dawa halafu watumishi wako wanaanzisha michezo ya mashirika ya umma wanakwenda kucheza sijui mikoani huko, wakitumia mamilioni ya hela kwenye posho na muda wa serikali.
Hebu niambie Kwanini kama kiongozi usiwe na roho mbaya dhidi ya hawa watu?
Haya ni matunda ya mti ulio pigwa mawe ukapigika!😭😭😭Hata kujenga bwawa lenye ufa sio kazi ndogo.
Lile bwawa limejengwa na watu serious kweli kweli.
1. Arab contractor ni giant civil engineering company middle east and africa ndie aliepewa kazi ya civil works zote za bwawa ambazo ni asilimia 55.
2. El sewedy electric aliepewa kazi ya electrical engineering yote ya bwawa yaani kufunga vifaa vya kuzalisha umeme na transformers ndio kampuni kubwa ya electrical engineering kuliko zote barani africa.
3. Sinohydro ambaye ni subcontractor kwenye civil engineering na mechanical engineering za bwawa ndiyo kampuni kubwa ya ujenzi kuliko zote barani asia. Na ipo top 5 duniani
Hizo kampuni 3 giants zote zipo rufiji zinashirikiana kujenga bwawa la umeme lenye thamani kubwa sana
Hivyo hakuna uzembe wowote walioufanya. Kiasi cha kukosolewa na mtu ambaye hawezi kujenga hata flayover mwenyewe.
madalali wa Mabeberu ndio wanaleta choko choko sababu hawalitaki hilo bwawa limekuja kuziba mirija yao ya kufisadi nchi kwa kisingizio cha upungufu wa umeme kama enz za escrow , dowans , iptl, na richmond
Kigwete aikona hivyo anafura kama kifutu! Jiwe miaka 5 tu lakini limewafunika mbaya!Haya ni matunda ya mti ulio pigwa mawe ukapigika!😭😭😭
Usubutu wake matokeo ndio hayo. Mwamba Muite jiwe! Apumzike baada ya taabu yake! Magu pumnzika Baba.
Kabisa mkuu kwakweli apewe maua yakeHilo bwawa limegharimu uhai wa jiwe, apongezwe hata kama ametangulia..
Hakika. Najua hakuna binadamu asiye na madhaifu. Lakini Huyu mwamba jiwe tulipewa na Mungu. Ila kwa wakati ule na matope alio pakwa daaah! hakuna ambaye angekubali kwamba Mungu alitupatia bahati kwa wakati wake.Kigwete aikona hivyo anafura kama kifutu! Jiwe miaka 5 tu lakini limewafunika mbaya!
Ni kweli mkuu ili mambo yaende lazima tutofautiane mitazamo ili wewe utowe hoja yako na mwingine atowe hoja yake ndio mambo yataenda. Tofauti na hapo binadamu tunaweza kuwa kama nyumbu.Hapo Jiwe alishika penyewe.
Japo nilikua sikubali sera zake nyingi, Kwenye hili nampa five.
Ya kwanza ni ipi mkuuNdio. Hii ni project ya pili kwa kula hela nyingi kuliko zote Tanzania
Itapitwa na SGR tu pale itakapokamilika reli yote.
Benk Ya dunia huwa inasaidia project za hela nyingi.. ila kwenye hii wazungu walikataa
Ulitaka iwe America/ Europe contractor..? Kwasababu walikuwa malaika..?