Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Mpwa huyo wa kaka mkubwa
Serikali yakabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 688.6 kwa kampuni ya Arab Contractor kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya mto Rufiji.

Mkandarasi ujenzi Mradi wa Maporomoko ya Mto Rufiji Kampuni ya Arab Contractors ya nchini Misri imekabidhiwa hundi ya Bilioni 688.651 kama malipo ya awali kwa ajili ya kuanza kazi za ujenzi.

Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James.

Akikabidhi hundi hiyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango amesema kwa hivi sasa nchi inajumla ya Mw 1602, hivyo kukamilika kwa mradi wa Rufiji kutaifanya nchi kuwa na umeme mwingi na wa uhakika.

Aliongeza mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia mia moja.

"Malipo haya ya awali yataenda sambamba na malipo mengine ambapo jumla yake itakuwa shillingi tilioni 1 kwa ujumla" alisema Bw. James.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Hamisi Mwinyimvua alisema malipo hayo ya awali ni sawa na asilimia 15.

Aliongeza, malipo yamegawanyika sehemu sehemu mbili asilimia 70 ya fedha za kigeni ambazo Amelia na asilimia 30 atalipwa baada ya kukamilisha shughuli za kimkataba.

Naye Mwenyekiti wa Bodi TANESCO Dkt. Alexander Kyaruzi kwa niaba ya TANESCO ameishukuru Serikali kwa kutekeleza mradi huo.

Hafla hiyo ilihudhuliwa pia na Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadilifu Mhandisi Innocent Luoga, Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka, Wakandarasi na baadhi ya wasimamizi wa Mradi wa Rufiji.
View attachment 1079865
 
Serikali yakabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 688.6 kwa kampuni ya Arab Contractor kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya mto Rufiji.

Mkandarasi ujenzi Mradi wa Maporomoko ya Mto Rufiji Kampuni ya Arab Contractors ya nchini Misri imekabidhiwa hundi ya Bilioni 688.651 kama malipo ya awali kwa ajili ya kuanza kazi za ujenzi.

Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James.

Akikabidhi hundi hiyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango amesema kwa hivi sasa nchi inajumla ya Mw 1602, hivyo kukamilika kwa mradi wa Rufiji kutaifanya nchi kuwa na umeme mwingi na wa uhakika.

Aliongeza mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia mia moja.

"Malipo haya ya awali yataenda sambamba na malipo mengine ambapo jumla yake itakuwa shillingi tilioni 1 kwa ujumla" alisema Bw. James.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Hamisi Mwinyimvua alisema malipo hayo ya awali ni sawa na asilimia 15.

Aliongeza, malipo yamegawanyika sehemu sehemu mbili asilimia 70 ya fedha za kigeni ambazo Amelia na asilimia 30 atalipwa baada ya kukamilisha shughuli za kimkataba.

Naye Mwenyekiti wa Bodi TANESCO Dkt. Alexander Kyaruzi kwa niaba ya TANESCO ameishukuru Serikali kwa kutekeleza mradi huo.

Hafla hiyo ilihudhuliwa pia na Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadilifu Mhandisi Innocent Luoga, Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka, Wakandarasi na baadhi ya wasimamizi wa Mradi wa Rufiji.
View attachment 1079865
Mbona asubuhi (wakati wa kusainiana) tulijuzwa kuwa serikali kwa siri imeingia ubia na hiyo kampuni kukopa huko wanakojua baada ya west kukataa kudonate? tutasikia na kuona mengi!
 
Kwa kazi tu Rais wangu amefanya. tusipo mpongeza akiwa hai basi hata siku moja huko mbele akiwa amekufa kizazi chetu kitamkumbuka kwa kazi hii nzuri anayo endelea kuifanyia Taifa letu hili
Heko kwako Mh Rais Magufuli
 
Miradi hii tutakuja kuichunguza maana ripoti za CAG awamu hii zinaashiria mengi yasiyofaa.

Na huu mradi tunasubiri uhamishiwe ofisi ile ambayo matumizi yake hayakaguliwa ila hii ni kinga ya muda tu.
Imekuuma kamanda
 
Hii miradi hadi ikakamilike tutakuwa tumechakaa vya kutosha.
 
Huu mradi ni mkubwa Jamani acheni Masihara Hongera sana rais Kw kutupeleka mbeke
 
Chadema watajinyea awamu hii ,wamebanwa kila kona.

Go Magufuli Go
Hapo ndo ujue CHADEMA ndo chama cha upinzani Tanzania.Yani mtu akipingana mawazo tu ni CHADEMA !!! hivi hujui kuwa kuna vyama kibao vya upinzani???
 
aliombewa na kufanyiwa mabaya ghadafi aliye fanya haya huku akiwapa maish safii raia wake iwe huyu ambaye raia wanachakaa kila idara, anzia kipato, lishe na kiakili.

huyu niwa kuombea mabaya kila dk.
Dua la kuku hilo
 
Hii miradi hadi ikakamilike tutakuwa tumechakaa vya kutosha.
Wewe akili yako mbovu na uelewa wako ni mdogo sana kichwani,poleni sana nyumbu hamjui mlitendalo.Tumezalisha kizazi cha hovyo sana hivi karibuni ambacho kwao kila kitu ni kinyume
 
Kitendo cha shughuli zote kufanywa na hao waarabu kwa 100% bila hata kutoa "Sub-Contract" kwa local contractors kinadhihirisha wazi kuwa fedha za ujenzi zinatoka Misri ila kama ilivyo ada serikali haipendi ifahamike hivyo.

Subcontractors ni kwa zile kazi ambazo kweli watanzania wanazimudu, complex project kama hii contract haitolewi kwa mihemko hiyo unayo fikiri.
Na hutolewa pale mkandarasi anaposubmit advance payment bond equivalent na 15% ya cotract price. Maccm haya mambo hawawezi yajua
As if chadema mlishawahi kufanya project hata ya kutotolesha vifaranga, ofisi tu kama choo cha primary school
 
Mpwa ndo kakabidhi fedha, hapo 10 percent imeshamfikia Omar Al Bashir
 
Mbona asubuhi (wakati wa kusainiana) tulijuzwa kuwa serikali kwa siri imeingia ubia na hiyo kampuni kukopa huko wanakojua baada ya west kukataa kudonate? tutasikia na kuona mengi!
Na akili yako ilivyo finyu ikabeba hiyo pumba kama ilivyo? Kuna mradi unaopingwa na hao "West" kama huu? Kivipi sasa hata serikali ifikirie kuomba mkopo {actually not donation go back to school} kutoka kwao?
 
Serikali yakabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 688.6 kwa kampuni ya Arab Contractor kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya mto Rufiji.

Mkandarasi ujenzi Mradi wa Maporomoko ya Mto Rufiji Kampuni ya Arab Contractors ya nchini Misri imekabidhiwa hundi ya Bilioni 688.651 kama malipo ya awali kwa ajili ya kuanza kazi za ujenzi.

Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James.

Akikabidhi hundi hiyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango amesema kwa hivi sasa nchi inajumla ya Mw 1602, hivyo kukamilika kwa mradi wa Rufiji kutaifanya nchi kuwa na umeme mwingi na wa uhakika.

Aliongeza mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia mia moja.

"Malipo haya ya awali yataenda sambamba na malipo mengine ambapo jumla yake itakuwa shillingi tilioni 1 kwa ujumla" alisema Bw. James.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Hamisi Mwinyimvua alisema malipo hayo ya awali ni sawa na asilimia 15.

Aliongeza, malipo yamegawanyika sehemu sehemu mbili asilimia 70 ya fedha za kigeni ambazo Amelia na asilimia 30 atalipwa baada ya kukamilisha shughuli za kimkataba.

Naye Mwenyekiti wa Bodi TANESCO Dkt. Alexander Kyaruzi kwa niaba ya TANESCO ameishukuru Serikali kwa kutekeleza mradi huo.

Hafla hiyo ilihudhuliwa pia na Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadilifu Mhandisi Innocent Luoga, Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka, Wakandarasi na baadhi ya wasimamizi wa Mradi wa Rufiji.
View attachment 1079865
Viva magufuli 2020[emoji1241][emoji818]
 
Ni kwa vile mzee baba yuko safarini kwa Kamuzu, la sivyo hundi hiyo ingekabidhiwa pale karibu na ferry kwa mbwembwe na majidai huku Kabudi na Ndugu gay wakipewa nafasi ya kutoa salam kunogesha sherehe na mzee baba akimalizia kwa kuelezea uzalendo ni nini
 
Wewe akili yako mbovu na uelewa wako ni mdogo sana kichwani,poleni sana nyumbu hamjui mlitendalo.Tumezalisha kizazi cha hovyo sana hivi karibuni ambacho kwao kila kitu ni kinyume
Sijaona sababu ya wewe kutoka povu kiasi hicho, unaangali mambo kwa urefu wa pua yako.
 
Back
Top Bottom