Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

utai
1. Nini maana ya "hundi ya mfano" na ina umuhimu gani?
2. a. Engineering Consultant wa mradi huu ni nani?
b. Gharama zake ni kiasi gani?
3. a. Nimesikia tanroads inahusika katika usimamizi (consultant) wa mradi huu. Ni kweli?
b. Kama ni kweli nauliza ' vipi tanroads wawe consultant wa project kubwa kama hii ambayo ni ya kwanza nchini kwa scope, wana uzoefu gani na miradi ya aina hii?
4. Tarehe za kuanza na kukamilika kwa mradi ni zipi kwasababu miradi ya aina hii hukamiluka baada ya muda mrefu pengine hata miaka 10+. Na si ajabu gharama za ujenzi kuongezeka. Hasa ikiwa kuna uharaka usio wa kawaida.
utaitwa mchochezi mkuu hasa unapohoji maswala yenye mantiki kama haya. hawakujibu kwa fact ila utashambuliwa
 
View attachment 1080381
Mkandarasi ujenzi Mradi wa Maporomoko ya Mto Rufiji Kampuni ya Arab Contractors ya nchini Misri imekabidhiwa hundi ya Bilioni 688.651 kama malipo ya awali kwa ajili ya kuanza kazi za ujenzi. Hundi hiyo imekabidhiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James.
View attachment 1080383
Akikabidhi hundi hiyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James amesema kwa hivi sasa nchi inajumla ya Mw 1602, hivyo kukamilika kwa mradi wa Rufiji kutaifanya nchi kuwa na umeme mwingi na wa uhakika. Aliongeza mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA UMMA HASA WALIMU YANALIPWA LINI???
 
mkuu

mkuu umekua psychologist kupima upana na ufinyu wa akili ya mtu? anayway nilitarajia ukanushe hilo na unielemishe ila kwa sababu ya ufinyu wa akili yako ukaona unishambulie personally!! kuna tofauti ya donation na loan you better go back to school and learn that hata SGR tumekopa ndio mana deni la taifa bado linakua na Mkulu anajitetea kwamba kukopa sio dhambi!
Donation ni mambo ya harusi na send off, huwezi kuita more than 7 trillions money a donation, na hapo ndio nimeona akili yako finyu.
 
1081343


Mkandarasi ujenzi Mradi wa Maporomoko ya Mto Rufiji Kampuni ya Arab Contractors ya nchini Misri imekabidhiwa hundi ya Bilioni 688.651 kama malipo ya awali kwa ajili ya kuanza kazi za ujenzi. Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James.
1081344


 
Huu mradi ukikamilika, litakuwa jambo la msingi kabisa kwenye mapinduzi ya viwanda. Nakumbuka alisema ije mvua lije jua lazima ajenge.

Ila isije kuwa ni namna ya kuaminisha tofauti na CAG.
 
images.jpeg-1.jpg

Naona wana JF wengi mko kimya lakini juzi mkandarasi Arab Contractors kalipwa na serikali ya Tanzania, malipo ya awali Tshs 688bilioni.

Haya ni malipo makubwa zaidi kuwahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru.

Kwa kifupi sasa tuna uhakika kuwa mradi wa ujenzi wa mradi wa umeme wa stieglers Gorge ndio unaanza kwa uhakika.

Myonge myongeni haki yake mpeni, hongera mh. Magufuli
 
Mzee kuna mambo amefanya na kiukweli anastaili hongera ila hoja ya watumishi wa kwenye maslai tumeumia sana.
Sasa hivi ndio madaraja watumishi baadhi wanapanda.
Tulitegemea sana bodi ya mishahara ingeweza kuja na suluhu ila naona imepotezewa
 
Hiyo picha uliogopa kupiga vizuri ili ulete kitu kinachoeleweka?
 
Huyu Jamaa Heading na alichoandika ni vitu viwili tofauti. Lumumba Shida kweli! Haraka kama bao la Ugwadu!
 
Ni vizuri umeleta hii mada huenda una majibu. Wakati rais anatangaza kampuni iliyoshinda zabuni ya ujenzi wa hilo bwawa, alisema litagharimu 6.5t ambazo ni pesa za mkopo. Ila juzi umetokea mchanganyo baada ya hundi kuandikwa wanasema ujenzi wa bwawa ni fedha za ndani 100%. Tuamini lipi katika hao? Au ni yale yale ya uwongo wa kusaka kiki?
 
Mzee kuna mambo amefanya na kiukweli anastaili hongera ila hoja ya watumishi wa kwenye maslai tumeumia sana.
Sasa hivi ndio madaraja watumishi baadhi wanapanda.
Tulitegemea sana bodi ya mishahara ingeweza kuja na suluhu ila naona imepotezewa
Nyie mnataka mlimpwe unono mnajua pesa zinatoka kwenye kodi zetu kwaiyo unataka sisi tuendelee kukamuliwa nyie mneemeke?
 
Back
Top Bottom