Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?

Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?

your right[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Kwasababu chuo unachosoma kuanzia walimu na wanafunzi mpo mpo tu. Ndio maana huwezi kuona ugumu wa chuo, ila kiukweli ugumu wa vyuo baadhi upo
 
Pagumu zaidi ni Mzumbe, licha ya mambo yote kama hivyo Vyuo vingine, lakini pia mfumo wao wa disco ni very complicated than vyuo vyote TZ

Mzumbe wanafunzi wanakula sana bata, yani mwaka wa kwanza unakuta mwanafunzi ana likizo ndefu kupundikia, na tena mwaka wa tatu ndo kabisa. Kuna Jamaa yangu huku alikua mwaka wa kwanza alianza likizo Toka mwezi wa pili hadi wa saba. Na mwingine wa mwaka wa tatu alianza likizo toka mwezi wa saba mwaka ule mpaka mwezi wa nne mwaka mwingine na akaenda kumaliza shule, KWA HAPO LAZIMA MWANAFUNZI AONE SHULE NGUMU LAKINI HAMNA UGUMU wowote, mngeweka mfumo kama vyuo vingine aiseee hapo watu wange enjoy sana na kuishia kula bata sana lakini hakuna ugumu wowote mzumbe ni ukiritimba tu, chuo kidogo sana kama selondari na taaluma ya kawaida sana
 
Kwasababu chuo unachosoma kuanzia walimu na wanafunzi mpo mpo tu. Ndio maana huwezi kuona ugumu wa chuo, ila kiukweli ugumu wa vyuo baadhi upo
That's true.
Kuna chuo kinaitwa CITY COLLEGE kiko temeke kingne kiko Kigamboni.
Ni majanga na wanafunzi wengi wanakilalamikia.
Kwanza sio chuo, ni College.
Huo ni mfano hai, ruhusa kukifatilia wana ndugu!
 
That's true.
Kuna chuo kinaitwa CITY COLLEGE kiko temeke kingne kiko Kigamboni.
Ni majanga na wanafunzi wengi wanakilalamikia.
Kwanza sio chuo, ni College.
Huo ni mfano hai, ruhusa kukifatilia wana ndugu!

Hapo ni sahihi kabisa mkuu tatizo watu hawataki kuelewa kabisa Haya mambo, yani hapa nchini hua vikiongelewa vyuo hua ni
UDSM
ARDHI
MZUMBE
MUHIMBILI
KCMC
SUA
UDOM
BUGANDO


ila vingine hivi hasa Haya ma vyuo ya private ni ukiritimba tu hamna kitu pale wako kimaslahi tu, na hua wanachukua failures tu Mimi na uhakika ukichukua mwanafunzi wa UDSM akaenda kusoma sijui hiyo city college au st Joseph huko anaeza asiwe anaingia darasani na akapata GPA ya 5.
 
Ugumu wa shule ni mtu mwenyewe umechukulia vipi serious masomo yako na uwezo wako wa kuelewa mambo. Kama ulifahulu vyema combination za PCB/PCM kwa Div 1/2 bila chabo kokote hakuna kigumu.....Wakati wewe unatoka na GPA ya 2 mwingine anatoka na ya 4.8 programm hiyohiyo
 
Ugumu wa shule ni mtu mwenyewe umechukulia vipi serious masomo yako na uwezo wako wa kuelewa mambo. Kama ulifahulu vyema combination za PCB/PCM kwa Div 1/2 bila chabo kokote hakuna kigumu.....Wakati wewe unatoka na GPA ya 2 mwingine anatoka na ya 4.8 programm hiyohiyo
Nakupinga mkuu.
Chuo na shule havina usawa.
Form six umepiga PCB ukafaulu kwa theory na practical za kuchanganya na kupasua chura.
Ila chuo unaenda kufanya uhalisia, unakutana na kazi yenyewe. Kuchanganya Acid maabara form six, sio sawa na ku clerk mgonjwa hospitali.
So kikubwa hapo ni kutegemea bidii na nia ya mwanafunzi.
 
Hapo ni sahihi kabisa mkuu tatizo watu hawataki kuelewa kabisa Haya mambo, yani hapa nchini hua vikiongelewa vyuo hua ni
UDSM
ARDHI
MZUMBE
MUHIMBILI
KCMC
SUA
UDOM
BUGANDO


ila vingine hivi hasa Haya ma vyuo ya private ni ukiritimba tu hamna kitu pale wako kimaslahi tu, na hua wanachukua failures tu Mimi na uhakika ukichukua mwanafunzi wa UDSM akaenda kusoma sijui hiyo city college au st Joseph huko anaeza asiwe anaingia darasani na akapata GPA ya 5.
Ni kweli.
Wanafunzi wengi tunafundishwa kutafuta ajira, sii kuajiriwa.
Halafu mchezo wa kuendekeza maslahi ndiyo yanayoua competent students nchini.
Serikali yetu ina kazi kunyoosha vyuo na college zote ili tupate wafanyakazi bora na walio competent. Tuiombee sana.
 
Nakupinga mkuu.
Chuo na shule havina usawa.
Form six umepiga PCB ukafaulu kwa theory na practical za kuchanganya na kupasua chura.
Ila chuo unaenda kufanya uhalisia, unakutana na kazi yenyewe. Kuchanganya Acid maabara form six, sio sawa na ku clerk mgonjwa hospitali.
So kikubwa hapo ni kutegemea bidii na nia ya mwanafunzi.
Kusoma kwa vitendo is much easier than doing it in theory.. In theory there is too much imagination na ni ngumu zaidi na pia huwezi kwenda direct kwenye vitendo bila kuwa na theory behind.. And nakuhakikishia foundation ya either ugumu ama urahisi iko kuanzia Advance hapo unakuwa equiped with all relevant knowledge/skills kukusaidia.
ALWAYS ugumu wa shule upo kwa mtu binafsi na mazingira yamzungukayo na si aina ya content.
 
Hakuna chuo kigumu, ugumu uko kwenye kozi! Pure sciences are more difficult than applied sciences. Medicine cannot be more difficult than biology, and engineering cannot be difficult than physics and mathematcs, pharmacy cannot be difficult than chemistry! Therefore the more difficult courses on earth are Bsc -general, i,e bachelor of science in Physics, Chemistry, Biology.
Wewe Nimekuelewaa. Wengne wote dereva alikosea walipaswa kushushiwa kibiti
 
Kusoma kwa vitendo is much easier than doing it in theory.. In theory there is too much imagination na ni ngumu zaidi na pia huwezi kwenda direct kwenye vitendo bila kuwa na theory behind.. And nakuhakikishia foundation ya either ugumu ama urahisi iko kuanzia Advance hapo unakuwa equiped with all relevant knowledge/skills kukusaidia.
ALWAYS ugumu wa shule upo kwa mtu binafsi na mazingira yamzungukayo na si aina ya content.
Uko sahihi.
Very true.
Ila nitoe mfano, kwenye field ya neurosurgery, kuna msemo unasema "you need a perfect, hand-eye coordination"!
Ndio maana Ben Carson akapewa the label "Gifted Hands".
Kitabu na peni ni nzuri, ila mkono na macho pia ni standard nyingine!
 
Muulizaji ametaka kujua Chuo kigumu hajasema Chuo kikuu mkuu. Hata hivyo DIT ina tabia zote za Uchuo kikuu coz inatoa hadi Masters

Ndio mkuu Mimi nimeuliza, sasa kwanini kinaitwa institute ? Na sio university ?
 
Ugumu wa shule ni mtu mwenyewe umechukulia vipi serious masomo yako na uwezo wako wa kuelewa mambo. Kama ulifahulu vyema combination za PCB/PCM kwa Div 1/2 bila chabo kokote hakuna kigumu.....Wakati wewe unatoka na GPA ya 2 mwingine anatoka na ya 4.8 programm hiyohiyo
Conas nasikia one ndo wanadisco!
 
Mbona wengi mnasema Sua ngumu, je wote mnaosema hivo mmesoma SUA au ushabiki? Siamini kama SUA kigumu kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom