Ukisema unaangalia tumbo lako je unaangalia tumbo lako ukiwa wapi? Kesho utatolewa hapo ulipo kwa namna wamasai wanavyoondolewa mkuu paza sauti kemea usikae kimyaHii nchi ilisha laaniwa, sijali kwa lolote linalotokea au litakalo tokea.
Kwani ni mangapi ya kipuuzi na ya hatari waliamua kuyafanya na tukanyamaza? Ni mengi na inaumiza.
Binafsi naangalia kula yangu na familia yangu mengine hayanihusu maana sina maamuzi, wakishaamua wao hata liwe la hatari kiasi gani huwa hawajali !!! Kwann me ni jali?
Ila ipo siku watanzania tutaamua kuondoa huu ukiritimba wa hawa wanaojiona wao ni wamiliki wa hii nchi na watakua wamechalewa , ni jambo la muda tu..
Ina huzunisha sanaaaHalafu cha kuhuzunisha ni ardhi ya wakristo wamasai na ni yao kiasili jadi na kihalali. Lakini wanazawadiwa miarabu kisa eti wamejenga msikiti. Jest imegine.
adriz Mohamed Said
mlamba asali huwezi kusema kinyumeHakuna ardhi itakayouzwa, kuwekeza sio kuuza mkuu
Yaani kinachoniuma mm ni sisi Wa Tanganyika kuuzwa na mzanzibari.Mlamba asali NI wewe na huyo Bibi tozo mnatuuza watanzania wenzenu kwa tamaa zenu hii laana itawarudia na mtajuta Sana kwa kujifanya viziwi na vipofu na majemedari leo
There is no such thing as ardhi ya wakristo... ardhi yoyote inamilikiwa na wakazi si dini. Dini ni theory tuHalafu cha kuhuzunisha ni ardhi ya wakristo wamasai na ni yao kiasili jadi na kihalali. Lakini wanazawadiwa miarabu kisa eti wamejenga msikiti. Jest imegine.
adriz Mohamed Said
Hebu piga picha ya kanisa pembeni pundamilia nasi tuoneHalafu cha kuhuzunisha ni ardhi ya wakristo wamasai na ni yao kiasili jadi na kihalali. Lakini wanazawadiwa miarabu kisa eti wamejenga msikiti. Jest imegine.
adriz Mohamed Said
Tatizo ni katiba mbovu na tutauzwa kweliYaani kinachoniuma mm ni sisi Wa Tanganyika kuuzwa na mzanzibari.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
UmepanicMlamba asali NI wewe na huyo Bibi tozo mnatuuza watanzania wenzenu kwa tamaa zenu hii laana itawarudia na mtajuta Sana kwa kujifanya viziwi na vipofu na majemedari leo
Ni laana kumuacha mzanzibari auze aridhi ya baraWanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu,
Yaani anaondolewa mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa mwarabu aliyewahi kutuuza Kama ngongwe[emoji16] enzi za utumwa.
Ni ukweli kwamba rasilimali zetu Kama taifa zilishapigwa mnada, si madini,gesi,vitalu, ardhi yenye rutuba n k. Kilichobaki ni wanachi nao kuuzwa kwa Bei ya kuku.
Ngorongoro NI ardhi ya wamasai, tukikubali wauzwe leo kesho ardhi ya mgogo, mnyaturu, mchaga au mhaya itauzwa vilevile.
Raisi Samia na serikali yako acheni kutupiga mnada watanzania
Juzi tulitandika polisi na mishale yenye Ncha Kali na kutoa roho moja, hii iwe fundisho…. takwenya ole sinaleui.Sasa badala ya kulialia humu wakusanye wakaldayo wenzako muingie msituni. Siyo kung'akang'aka nyuma ya keyboard.
Get up stand up stand up for your right.
Kammoon