Ardhi ya Tanzania inaendelea kupigwa mnada kwa spidi ya mwanga

Ardhi ya Tanzania inaendelea kupigwa mnada kwa spidi ya mwanga

Wanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu,
Yaani anaondolewa mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa mwarabu aliyewahi kutuuza Kama ngongwe[emoji16] enzi za utumwa.
Ni ukweli kwamba rasilimali zetu Kama taifa zilishapigwa mnada, si madini,gesi,vitalu, ardhi yenye rutuba n k. Kilichobaki ni wanachi nao kuuzwa kwa Bei ya kuku.
Ngorongoro NI ardhi ya wamasai, tukikubali wauzwe leo kesho ardhi ya mgogo, mnyaturu, mchaga au mhaya itauzwa vilevile.
Raisi Samia na serikali yako acheni kutupiga mnada watanzania

Una ushahidi?
 
Juzi tulitandika mishale polisi na kutoa roho moja, hii iwe fundisho…. takwenya ole sinaleui.
Wasifikir wakileta ubabe wayakufa wamasai pekee hii ngoma nzito serikali inachukulia poa ila ngoja tuone
 
T
Wanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu,
Yaani anaondolewa mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa mwarabu aliyewahi kutuuza Kama ngongwe[emoji16] enzi za utumwa.
Ni ukweli kwamba rasilimali zetu Kama taifa zilishapigwa mnada, si madini,gesi,vitalu, ardhi yenye rutuba n k. Kilichobaki ni wanachi nao kuuzwa kwa Bei ya kuku.
Ngorongoro NI ardhi ya wamasai, tukikubali wauzwe leo kesho ardhi ya mgogo, mnyaturu, mchaga au mhaya itauzwa vilevile.
Raisi Samia na serikali yako acheni kutupiga mnada watanzania
Toa ujinga wako hapa.
 
Ndugai mpaka leo ni mbunge, apinge hayo ndani ya bunge maana ana kinga. Ndugai ndio alikuwa kinara wa kuhakikisha wabunge wa upinzani hawaongei ndani ya bunge, na alishiriki sana kuhakikisha wabunge wa upinzani hawarejei bungeni ili kusiwe na mtu wa kuhoji nchi yetu ikiuzwa. Kinachoendelea huko bungeni imegeuka ni sehemu ya vitisho ili nchi iuzwe vizuri, na kuongea uongo ili kuhadaa umma.

Ardhi yetu imeuzwa sijui kwa waarabu, lakini hatuoni majeshi ya waarabu huko ngorongoro wakiwashambulia Wamasai, bali tunaona polisi wetu wa kitanzania wakiwashambulia Wamasai. Yaani sisi wenyewe ndio tunauana na kuumizana ili mwarabu aje akalie nchi yetu!
Sasa nini maana ya kuuzwa kama alienunua kashindwa kuleta ulinzi wake

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu sio kupinga tu, serikali Ina Nia njema kabisa ngorongoro ikiachwa iendelee kuharibiwa na wamasai basi miaka michache mbele hatutakuwa na ngorongoro
Kwaiyo mwarabu yeye ndo hawezi kuiaribu!!??
 
Ndugai mpaka leo ni mbunge, apinge hayo ndani ya bunge maana ana kinga. Ndugai ndio alikuwa kinara wa kuhakikisha wabunge wa upinzani hawaongei ndani ya bunge, na alishiriki sana kuhakikisha wabunge wa upinzani hawarejei bungeni ili kusiwe na mtu wa kuhoji nchi yetu ikiuzwa. Kinachoendelea huko bungeni imegeuka ni sehemu ya vitisho ili nchi iuzwe vizuri, na kuongea uongo ili kuhadaa umma.

Ardhi yetu imeuzwa sijui kwa waarabu, lakini hatuoni majeshi ya waarabu huko ngorongoro wakiwashambulia Wamasai, bali tunaona polisi wetu wa kitanzania wakiwashambulia Wamasai. Yaani sisi wenyewe ndio tunauana na kuumizana ili mwarabu aje akalie nchi yetu!
Ni aibu sana mkuu.
 
Back
Top Bottom