Hamna hata aibu kuwazawadia miarabu ardhi ya wa kristo wamasai Lisa mmejengewa msikiti.Hebu piga picha ya kanisa pembeni pundamilia nasi tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna hata aibu kuwazawadia miarabu ardhi ya wa kristo wamasai Lisa mmejengewa msikiti.Hebu piga picha ya kanisa pembeni pundamilia nasi tuone
Hao NI wakezaji Kama wengine mkuuHamna hata aibu kuwazawadia miarabu ardhi ya wa kristo wamasai Lisa mmejengewa msikiti.
Wewe chizi kweli. Ngorongoro inakusaidia nn?We Ngorongoro inakusaidia nini? Tuna Serengeti, Tarangire, Manyara, Mikumi, Selous na nyingine nyingi. Why Ngorongoro?
Watanzania NI wapole waungwana na wastaarabu Sana ila siku za karibuni Kuna watanzania wachache waliokubali kutumika kuiharibu taswira ya nchi na pia uongozi wa Mama Samia wao NI kutukana kupinga Kila kitu na vuruguvurugu tu. Sasa serikali haiwezi kukaa kimya kuwaacha wapotoshaji wachache watuharibie nchi. Lazima wawajibishweKila kitu kina mwanzo na mwisho wake. Wahenga wanasema ogopa kabisa watu ambao ni wapole na watawala wanachukulia hilo kama ujinga na kuendelea na udhalimu.
Umeachia uharo ambao siyo mara ya kwanza kusikia wajinga kama wewe wakijisaidia hadharani. Nikuambie: wanaopiga kelele wanaona mbali kwa sababu wanajua ujinga unaofanywa na serikali ni jambo la muda tu na siku wananchi waki-react wote tutakuwa kwenye mashaka na itachukuwa muda sana kurudi kwenye utulivu.Watanzania NI wapole waungwana na wastaarabu Sana ila siku za karibuni Kuna watanzania wachache waliokubali kutumika kuiharibu taswira ya nchi na pia uongozi wa Mama Samia wao NI kutukana kupinga Kila kitu na vuruguvurugu tu. Sasa serikali haiwezi kukaa kimya kuwaacha wapotoshaji wachache wayuharibie nchi
Wananchi hawawez kureact kwa maswala mhimu Kama haya ya kitaifa. Kutunza na kuilinda ngorongoro ndio wananchi wafikie kupigana?Umeachia uharo ambao siyo mara ya kwanza kusikia wajinga kama wewe wakijisaidia hadharani. Nikuambie: wanaopiga kelele wanaona mbali kwa sababu wanajua ujinga unaofanywa na serikali ni jambo la muda tu na siku wananchi waki-react wote tutakuwa kwenye mashaka na itachukuwa muda sana kurudi kwenye utulivu.
Na huo ndio ukweli wenyeweWamasai wakibaki tukubali Mbuga itakufa baada ya mda
Inatakiwa hata familia yako ipigwe mnada ili tuinunue make ni hasara kwa Taifa letu familia kama yakoKama huna faida kwa Taifa, lazima tukupige mnada, ikiwezekana wewe na uzao wako.
Crater na oldvai gorge ndio maana ni eneo la Urithi wa DuniaHuo umaarufu unatokana na nini?
Swali langu limeku expose uwezo wako mdogo sana kwenye hili swala.Crater na oldvai gorge ndio maana ni eneo la Urithi wa Dunia
Acha upumbavu wewe,ulitaka nijibu ujinga unaougikiria kichwani kwako kwamba Masai kuishi na wanyama ndio kumefanya kuwa maarufu?Swali langu limeku expose uwezo wako mdogo sana kwenye hili swala.
Kwanini mapango ya Angoni sio maarufu kama Ngorongoro? Kwanini michoro ya Kondoa Irangi sio maarufu kama Ngorongoro? Kwanini Ismila sio maarufu kama Ngorongoro?kwanini Kimondo cha mbozi sio? Au any other historical site?
Wamasai waamishiwe Zanzibar maana wao nikizutio Cha utaliWanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu,
Yaani anaondolewa mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa mwarabu aliyewahi kutuuza Kama ngongwe[emoji16] enzi za utumwa.
Ni ukweli kwamba rasilimali zetu Kama taifa zilishapigwa mnada, si madini,gesi,vitalu, ardhi yenye rutuba n k. Kilichobaki ni wanachi nao kuuzwa kwa Bei ya kuku.
Ngorongoro NI ardhi ya wamasai, tukikubali wauzwe leo kesho ardhi ya mgogo, mnyaturu, mchaga au mhaya itauzwa vilevile.
Raisi Samia na serikali yako acheni kutupiga mnada watanzania
Ficha ujinga wako.Halafu cha kuhuzunisha ni ardhi ya wakristo wamasai na ni yao kiasili jadi na kihalali. Lakini wanazawadiwa miarabu kisa eti wamejenga msikiti. Jest imegine.
adriz Mohamed Said
Upo sahihi wanao watetea hao masay ni kujitoa ufahamu tuKila kitu sio kupinga tu, serikali Ina Nia njema kabisa ngorongoro ikiachwa iendelee kuharibiwa na wamasai basi miaka michache mbele hatutakuwa na ngorongoro
Kwa sababu hujui kitu. Wewe ni mjinga tunakujua.Acha upumbavu wewe,ulitaka nijibu ujinga unaougikiria kichwani kwako kwamba Masai kuishi na wanyama ndio kumefanya kuwa maarufu?
Ni ufiche wapi wakati huu ndo muda muafaka wakupigania haki za wakristo. Sasa kwa kuwa umenikera nitakutafuta ili uniambie usoni ni jinsi gani ya kuficha ujinga wangu. Nisubiri nakujaFicha ujinga wako.