Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wanyama hai wanapelekewa Uarabuni hai, Patakuwa na utalii hapo, waje kufanya nn.Kila kitu sio kupinga tu, serikali Ina Nia njema kabisa ngorongoro ikiachwa iendelee kuharibiwa na wamasai basi miaka michache mbele hatutakuwa na ngorongoro
Kwa hiyo malipo yao NI kuwanyang'anya ardhi yao kwa nguvu na kuwauzia waarabuTunatambua mchango wa wamasai katika hifadhi yetu kwa miaka mingi, lkn Sasa serikali kwa nia njema imeamua kubadili matumiz ya ardhi Kama sheria inavyoruhusu, ndio maana tunawajengea makazi Safi na salama zaidi
Hakuna undamaged wala umchicha "TII SHERIA BILA SHURUTI" uone kama uta taabikaMkuu unabariki unyama wanaoganyiwa wamasai huko ngorongoro?
Hakuna undamaged wala umchicha "TIO SHERIA BILA SHURUTI" uone kama uta taabikaMkuu unabariki unyama wanaoganyiwa wamasai huko ngorongoro?
Kutakuwa na Pemba pale Ngorongoro?Kila kitu sio kupinga tu, serikali Ina Nia njema kabisa ngorongoro ikiachwa iendelee kuharibiwa na wamasai basi miaka michache mbele hatutakuwa na ngorongoro
Kumbe wamasai ni wakristo? Hivyo ndoa za wake wengi ni ruksa kwenye ukristo eenh?Halafu cha kuhuzunisha ni ardhi ya wakristo wamasai na ni yao kiasili jadi na kihalali. Lakini wanazawadiwa miarabu kisa eti wamejenga msikiti. Jest imegine.
adriz Mohamed Said
Mbrrrrr mbrrrrr mbrrrrr Pata uhondo wa ushuz.Kumbe wamasai ni wakristo? Hivyo ndoa za wake wengi ni ruksa kwenye ukristo eenh?
Wewe lipumbavu sana aisee
kumbe wakati mwingine yanakuumaWanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu.
Yaani anaondolewa Mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa mwarabu aliyewahi kutuuza Kama ngongwe[emoji16] enzi za utumwa.
Ni ukweli kwamba rasilimali zetu Kama taifa zilishapigwa mnada, si madini,gesi,vitalu, ardhi yenye rutuba n k. Na kwa Sasa visiwa vidogo vidogo vya Zanzibar vinapigwa mnada kwa kisingizio Cha kukodishwa.
Kilichobaki ni wanachi nao kuuzwa kwa Bei ya kuku.
Ngorongoro NI ardhi ya wamasai, tukikubali wauzwe leo kesho ardhi ya mgogo, mnyaturu, mchaga au mhaya itauzwa vilevile.
Raisi Samia na serikali yako acheni kutupiga mnada Watanzania
Heee wee NYAUKumbe wamasai ni wakristo? Hivyo ndoa za wake wengi ni ruksa kwenye ukristo eenh?
Wewe lipumbavu sana aisee
Tindo nakuona mstaarabu siku zote, sikujua na wewe unaweza kukamatika katika mtego wa kitoto wa kuamini kweli nchi imeuzwa.Ni kweli, kwahiyo mwarabu ndio mwenye uwezo wa kuilinda hiyo ngorongoro? Ni lazima Wamasai waondolewe kwa wengine kuuwawa? Kwanini zisitungwe sheria ambazo zingewafanya waondoke wenyewe kwa amani? Mfano ipite sheria hakuna mmasai ataruhusiwa kumiliki ng'ombe zaidi ya 100, na wakati huo huo kila ng'ombe alipiwe kodi kubwa? Ingewekwa kodi ambayo hata ukitaka kumuuza huyo ng'ombe ukifananisha na hiyo kodi ni bora usifuge.
Hii ya kutumia mabavu na kulazimisha waondoke sasa ni kwa faida ya nani? Kibaya zaidi huko wanakopelekwa hakuna hata mazingira wezeshi. Zimejengwa nyumba 2 tatu za kuhadaa umma kuwa wamewekewa miundombinu. Hao Wamasai wakilogwa wakaondoka huko ngorongoro wakaenda huko handeni, watateseka kupita maelezo. Tuna uzoefu na huduma za serikali zinapohamisha watu, hii ni laana ya toka enzi za Nyerere kwenye vijiji vya ujamaa.
Tindo nakuona mstaarabu siku zote, sikujua na wewe unaweza kukamatika katika mtego wa kitoto wa kuamini kweli nchi imeuzwa.
Kinachoendela Ngorongoro kimeelezewa kwa kirefu na kinaendelea kuelezewa kila mahali.
Umewekewa mtego wa wanaharakati na umeuingia mazima.
Mwambie na msaidie huyo ndugu ili aelewe vizur zaidiTindo nakuona mstaarabu siku zote, sikujua na wewe unaweza kukamatika katika mtego wa kitoto wa kuamini kweli nchi imeuzwa.
Kinachoendela Ngorongoro kimeelezewa kwa kirefu na kinaendelea kuelezewa kila mahali.
Umewekewa mtego wa wanaharakati na umeuingia mazima.