Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

kwa taarifa nilizonazo,ni kweli kwamba hawa viumbe wapo na inasemekana teknolojia yao iko juu,kuna hata shuhuda mblmbl..nchini marekani watu kadhaa tofauti wamekaririwa wakisema wamekutana na hao viumbe kla mmja kwa wakt wake,na kwa video za satellite zinazotumika kimeshaonekana kimoja kikipita kuzunguka dunia,na kuna taarifa za vyombo kama visahani kutua duniani na kuondoka kwa mwendo kasi sana na vingine vilitoa moto..hivyo vinasadikiwa kuendeshwa na hao viumbe wa ajabu.kulikuwa na mgogoro marekani,watu kadhaa wakiishutumu kwa kuficha siri fulani kuhusu hawa viumbe..unaweza kwenda google na andika neno ufo..halafu angalia video zake za you tube,utafunguka kwa kiasi kikubwa.

Seems like Aliens are only interested with USA, maana always huko ndo wanakoonekana often "according to them". Why hawaj Bongo or Africa?
 
mimi nafuatiliga sana habari za alliens n the universe, it is possible that we are not alone in the universe, yani kuna viumbe wengine kwenye sayar zingine... the mathematics is simple, kuna nyota zaidi ya mamillion, na kila nyota kama jua ina sayari zaid ya mbili kama sikosei, sasa ili pawe na viumbe hai katika sayari zingine inabid sayari hyo iwe umbali na jua lake kama dunia ilivyo mbali na jua yani hakuna joto sana wala baridi sana ndo mana kuna viumbe duniani.

sasa ukipiga probability ya kirahisi hapo tuseme tu kwenye kila nyota laki moja kuna nyota moja yenye sayari ya viumbe hai yani probability of 1/100,000 sasa tuseme ulimwengu una nyota 1,000,000 ukifanya 1/100,000 × 1,000,000 unapata 10. yani kuna sayari kumi zngne zna viumbe hai!!!!!

mpaka sasa NASA imegundua kama sayari 3 hivi km sikosei amabzo zinatabia kama ya dunia yaani zinaweza support life. sayari hizo zimegunduliwa kwa kutumia a very big telescope inayoelea space kwenye satellite. tatzo ni kwamba hatuwezi kufika huko kwenye hzo sayar hata kwa kutuma robots kama zile za Mars coz hzo sayari zpo umbali ambao hata light ina weza ikatumia miaka 10 kusafari na kama mmnavyojua light inasafiri 300,000,000km kwa sekunde, so pga hesabu hapo mwanawane... na hyo ndo mana tumeshndwa kuwasiliana na viumbe wengine kwa sababu mawasiliano ya radio yametumwa mpaka leo hayajafika na hata yakifika hatujui kama tutaelewena, na sisi kuna vyombo vimewekwa kusikiliza any kind of communications from outside our solar system...

so its posible km kweli viumbe hao walishawahi kufka au ni storiz tu.... lisemwalo lipo kama halipo .................

As an addition Our galaxy alone hosts not millions but about 400Billion stars with 17Billion earth alike and more than 260 of the 17Bil confirmed to be in the habittable zone! Hii ni kwa milky way, the math says kuna as many stars out there as there is sand on earth! As much as we know there could be Infinity number of stars na zote zina altleast one orbiting planet. Jamani kwa hizi numbers come on atleast a dozen of planets zitakua na living organisms, till no tofauti na ile "WoW signal" still bado significant scientific alien related event haijagundulika!! But the research is on going, kuna probe walirusha back in the 70s huko mpaka sasa imeshatoka outside our solar sys who knows huko mbele!! Hopefully if they show up they'll come in peace(fo real)! Ila i must say nashidwa kuplace existance of aliens kwene vitabu vya dini kabisa! Anyone?
 
Seems like Aliens are only interested with USA, maana always huko ndo wanakoonekana often "according to them". Why hawaj Bongo or Africa?

Gud argument!..hata me sijawahi kuskia habar za alliens place yoyote zaid ya USA!
 
Samahan Kama Naenda Nje Ya Maada Vp Kuhusu Viumbe Vngne Kama Vampires, Golins Na Warewolves.... Wamesha wah Kuwepo?? au Wan exist Untill Now??

hao mythical creatures, hakuna evidence ya uwepo wao, ni hadithi tu
 
NASA controll internet & almost everything concerning technology.

What makes you think they wont be able to put wrong info to confuse & redirect every one to the path they want you to beleave??
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kuna uchafu mwingine unaitwa BBA eti mtoto wa Kitanzania naye anakubali kwenda kupigwa akuku danger huku camera zinammulika na wazazi wake wanaona pamoja na Family Member, i see nashindwa kuamini maana mimi hiyo BBA huwa naskip siangalii hata kwa bahati mbaya.
Kwa kweli huwa nawashangaa sana watu wanaopoteza muda wao kukesha eti wanaangalia BBA.
Na eti kuna mtu anasema Tanzania tuna wawakilishi. Mshiriki yeyote wa BBA kutoka Tanzania haniwakilishi mimi (hii ni yangu binafsi), anawawakilisha wapenzi wa BBA walioko TZ.
Kuna kipindi walijaribu kuliongelea hili suala bungeni ila naona wakafumbwa mdomo. Sitashangaa siku akishinda akapokelewa na waziri
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kuna uchafu mwingine unaitwa BBA eti mtoto wa Kitanzania naye anakubali kwenda kupigwa akuku danger huku camera zinammulika na wazazi wake wanaona pamoja na Family Member, i see nashindwa kuamini maana mimi hiyo BBA huwa naskip siangalii hata kwa bahati mbaya.

Mkuu nimecheka sana hapo kwenye red....
 
Hawa vuimbe wapo na inasemekana wana techinologia ya hali ya juu kabisa. Wamewahi kuonekana nchi mbali mbali zikiwemo USA, URUSI, ULAYA NA HATA ASIA
Mfano kwa Urusi hivi viumbe vilisahau kifaa chao ambacho baada ya kuokotwa ilisemekana hakuna nchi inayo tengeneza hicho kifaa. Na hawa viumbe huwa wanakuja Duniani kufanya utafiti na kuna watu walisha wahi kukamatwa na hiv viumbe kwa ajili ya uchunguzi
 
mkuu hakuna alien ilikua ni vita baridi ya marekani na urusi iliozaa hivi viumbe. walikua wakitumia vifaa vya ajabu kupigana na kuwasingizia aliens.

Nishawahi kuona ripoti ya shirika la utafiti wa anga la juu la marekani NASA,kwamba katika moja ya safari za wanaanga walipokuwa wanakwenda kutua mwezini njiani waliona chombo chenye viumbe wa ajabu.Lakini baadae kikatoweka kwa spidi kubwa
 
Nishawahi kuona ripoti ya shirika la utafiti wa anga la juu la marekani NASA,kwamba katika moja ya safari za wanaanga walipokuwa wanakwenda kutua mwezini njiani waliona chombo chenye viumbe wa ajabu.Lakini baadae kikatoweka kwa spidi kubwa

Niliiyona pia wanasema"walivyofika mwenzin waliona kwa mbali kuna viumbe vimefika navyo vinafanya utafit hawakuweza kuvifwatilia kwa sababu vipo nje ya eneo wanaolifanyia utafit kwahiyo kutoka nje ya hilo eneo ingekuwa hatar kwao"

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
mi ni mkristo kuna fungu ambalo huwa nikilitafakari linanipa utata kwamba sisi wanadamu hatukuwa viumbe wa kwanza kuumbwa pale mwanzo adamu alipata watoto wawili wakiume kaini na mdogo wake kaini akamuua nguguye akakimbia kwao akaenda sehemu za mbali uko akapata mke akawa na kizazi sasa huyo mke alitoka wapi wakati kipindi hicho tunaweza kusema dunia ilikuwa na watu wanne tu sasa hao wengine je ni mwanzo 3 kwenye biblia.vilevile inawezekana hivi viumbe vikawa ni matokeo ya tafiti za wanadamu

Mkuu nilivyosikia ilikuwa hiv na nalikebishwe kama sipo sahihi"kulikuwa na vita mbinguni shetani na maraika zake wakashindwa na wakatupwa dunian shetan hana sura mbaya kama watu wadhaniavyo kumbuka alikuwa ni mmoja kat ya maraika wazur ambao akitembea mwil wake unapiga vinanda.Basi inasemekana kaini ilizaliana na hao wana ambao wametambulika kama majitu au wanephine.Pia inasemekana kile kizaz kilitoweka kipind cha Nuhu kwa lile ghalika

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Haya ni mashetani tu yanakuja kwa njia hiyo kutughilibu binadamu hasa wale wanaotaka kuacha kufanya majukumu yao na kutaka kushindana na Mwenyezi Mungu, yaani mataifa makubwa ya urusi,na marekani. Sioni ajabu kwa haya mapepo kutokea kwa hitler kwani ameangamiza mamilioni ya watu; ambayo ndio kazi ya shetani.
 
Hamna ukwel wowote wa kuwepo kwa hawa viumbe
Unategemea mtu yeyote makini can by this one paragraph excuse without deeper explanation? Tusijizoeze vitu rahisi rahisi, toa maelezo ya kina with vivid evidence, JF na Facebook ni vitu viwili tofauti kabisa kwanza ulitambuwe hilo kabla ya kupost chochote humu, hii ni shule zaidi ya vyuo rasmi unavyovifahamu wewe.
 
Back
Top Bottom